pid

  1. Eng Kizumango

    Fahamu zaidi kuhusu P.I.D, dalili na madhara yake

    P.I.D- Pelvic Inflammatory Disease. P.I.D Ni maambukizi kwenye via vya uzazi kwa mwanamke ambayo huusisha maambukizi kwenye shingo ya kizazi(CERVICITIS),nyama kwenye mfumo wa wa uzazi(ENDOMETRITIS) na mirija ya uzazi(SALPINGITIS). Kuna aina mbili ambayo ni chanzo cha maambukizi ya ugonjwa wa...
  2. Madame oresta

    Natumia dawa za PID na UTI siwezi kuathiri ujauzito

    Habari samahani wakuu first mimi ni mjamzito wa 5weeks nilienda kupima utrasound nikaambiwa na PID Sugu na UTI nimeandikiwa sindano saba za ceftriaxone pamoja na co-amoxiclav tables nazo za siku saba ambayo nimeze baada ya kumaliza sindano sasa naombeni msaada kuwa hizi dawa zitanisaidia kupona...
  3. Madame oresta

    Dawa za PID na UTI haziwezi kudhuru ujauzito?

    Habari samahani wakuu first mimi ni mjamzito wa 5weeks nimeenda kupima utrasound nikaambiwa na PID Sugu na UTI nimeandikiwa sindano 7 za ceftriaxone na pamoja na co-amoxiclav tables ya siku saba nimeze baada ya kumaliza sindano saw itansaidia kupona kwa haraka na ujauzito wangu hautapata madhara?
  4. Baba Vladmir

    Niulize chochote juu ya tiba za Mitishamba

    Jambo watanzania wenzangu!! Katika kubadilishana maarifa ninaomba kuulizwa chochote juu ya dawa asili za mimea na mitishamba katika kutibu magonjwa mbalimbali. NB: Maswali hayo yasihusishe ramli na mambo ya kishirikina, ama mambo dhahania, maswali yajielekeze katika magonjwa ya kila siku...
  5. SankaraBoukaka

    TCRA na Wizara ya Afya, mnamsikia huyu daktari anayejitangaza kupitia Kiss FM 98.9?

    Jana Alhamisi muda wa saa 5 usiku hivi nikiwa natafuta Station za Radio nikaangukia Kiss FM 98.9, niliposikia neno "PID" ikabidi nisikilize kidogo kinachoongelewa maana nami nipo kwenye uwanja huo huo wa mambo ya Afya.. Nilipigwa na bonge la mshangao kwa yale niliyokuwa nikisikia,, maana...
  6. Kasomi

    Pelvic Inflammatory Disease (PID)

    PELVIC INFLAMATORY DISEASE (P,ID),Ni maambukizi katika via vya uzazi wa mwanamke au mfumo wa uzazi wa mwanamke,,kwa kawaida maambukizi haya ynahusiana na mji wa mimba (uterus,shingo ya kizazi) (cervix,( fallopian tubes Mirija ya uzazi ya mwanamke ) na sehemu yanapozalishwa mayai haya ( ovarie)...
Back
Top Bottom