Akili kali united
New Member
- May 12, 2024
- 3
- 0
Hello....
Habari za muda huu.
Je, huyu ni wewe?
Unajiuliza ni njia gani utumie kupanga bei ya kuuzia bidhaa zako? Kwenye upangaji wa bei kuna factor nyingi za kuziangalia mfano.
1. Washindani wako katika soko.
2. Kipato cha wateja wako.
3. Mazingira ya soko.
Ila leo nitazungumza kupanga bei kwa kutumia njia ya QUEEN OF SHEBA kwenye kupanga bei ya kuuza huwa tunatumia kanuni ya %.
Hii kanuni izingatie saaaaaaana. Sasa hapa unatakiwa kujua unataka % ngapi ya faida.
Mfano unataka 30% ya faida na bei ya manunuzi ni 5,000. Swali linakuja je niuze bei gani ili niweze kupata faida ya 30%?
Kumbuka tuna manunuzi 5,000, faida tunayotaka ni 30%. Je, bei ya kuuzia ni ipi?
Kanuni:
Chukua 100 toa asilimia unayotaka. Chukua 100 gawanya kwa jibu ulopata. Zidisha bei ya manunuzi kwa jibu la mwisho kabisa. Hiyo ndo itakuwa bei ya kuuzia.
Twende kwenye mfano wetu wa juu.
1. Manunuzi 5,000
2. Faida 30%
Turudi kwenye kanuni.
1. 100-30= 70
2. 100÷70= 1.42
3. 1.42×5,000
4. 7,100 hii ndo bei ya kuuzia.
So hapo ukiuza 7,100 unapata faida 30% ambayo faida ni sawa na 2,100 hapo. Sijui umenipata?
Imedhaminiwa Na Akili Kali United
Payless 0654208515
Kijana mpole +255785408249
Cusho creatives +255 😁
Habari za muda huu.
Je, huyu ni wewe?
Unajiuliza ni njia gani utumie kupanga bei ya kuuzia bidhaa zako? Kwenye upangaji wa bei kuna factor nyingi za kuziangalia mfano.
1. Washindani wako katika soko.
2. Kipato cha wateja wako.
3. Mazingira ya soko.
Ila leo nitazungumza kupanga bei kwa kutumia njia ya QUEEN OF SHEBA kwenye kupanga bei ya kuuza huwa tunatumia kanuni ya %.
Hii kanuni izingatie saaaaaaana. Sasa hapa unatakiwa kujua unataka % ngapi ya faida.
Mfano unataka 30% ya faida na bei ya manunuzi ni 5,000. Swali linakuja je niuze bei gani ili niweze kupata faida ya 30%?
Kumbuka tuna manunuzi 5,000, faida tunayotaka ni 30%. Je, bei ya kuuzia ni ipi?
Kanuni:
Chukua 100 toa asilimia unayotaka. Chukua 100 gawanya kwa jibu ulopata. Zidisha bei ya manunuzi kwa jibu la mwisho kabisa. Hiyo ndo itakuwa bei ya kuuzia.
Twende kwenye mfano wetu wa juu.
1. Manunuzi 5,000
2. Faida 30%
Turudi kwenye kanuni.
1. 100-30= 70
2. 100÷70= 1.42
3. 1.42×5,000
4. 7,100 hii ndo bei ya kuuzia.
So hapo ukiuza 7,100 unapata faida 30% ambayo faida ni sawa na 2,100 hapo. Sijui umenipata?
Imedhaminiwa Na Akili Kali United
Payless 0654208515
Kijana mpole +255785408249
Cusho creatives +255 😁