Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,483
- 40,500
Wakuu habari,
Kuna kampuni ndogo nategemea kuianzisha hivi karibuni, ambayo baadhi ya kazi zake zitakuwa zikionyweshwa huko 'youtube'; mpango mzima wa kuandaa maudhui utakuwa ni huku Tanzania, ila watengenezaji watakuwa ni huko bara la Asia.
Nikimaanisha ili nipate kazi kamili, lazima niwalipe ao watu wa nje; bahati nzuri nipo nao kwenye mazunguzo ya kulifanikisha hilo.
Changamoto niliyoiona katika kufanya utafiti kwenye majukwa ya huko nje, wanasema nchi ambazo 'you tubers' wananufaika vizuri ni USA, UK, Canada; na mimi lengo langu nataka ninufakie vizuri, kwa sababu hawa watu wa nje nitakuwa nawalipa kwa fedha za kigeni.
Swali, nitumie njia gani ili 'youtube' iweze kuninufaisha zaidi? Je, mafao yanatokana na nchi hiyo chaneli ilipo au, kama sio, kwa nini waseme USA, Canada, na UK ndio inalipa zaidi?
Malengo yangu ni kupata faida kubwa.
Karibu kwa maoni.
Kuna kampuni ndogo nategemea kuianzisha hivi karibuni, ambayo baadhi ya kazi zake zitakuwa zikionyweshwa huko 'youtube'; mpango mzima wa kuandaa maudhui utakuwa ni huku Tanzania, ila watengenezaji watakuwa ni huko bara la Asia.
Nikimaanisha ili nipate kazi kamili, lazima niwalipe ao watu wa nje; bahati nzuri nipo nao kwenye mazunguzo ya kulifanikisha hilo.
Changamoto niliyoiona katika kufanya utafiti kwenye majukwa ya huko nje, wanasema nchi ambazo 'you tubers' wananufaika vizuri ni USA, UK, Canada; na mimi lengo langu nataka ninufakie vizuri, kwa sababu hawa watu wa nje nitakuwa nawalipa kwa fedha za kigeni.
Swali, nitumie njia gani ili 'youtube' iweze kuninufaisha zaidi? Je, mafao yanatokana na nchi hiyo chaneli ilipo au, kama sio, kwa nini waseme USA, Canada, na UK ndio inalipa zaidi?
Malengo yangu ni kupata faida kubwa.
Karibu kwa maoni.