MarianaTrench
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 1,213
- 941
"aprication" ? daah ...muda mwingine naingiaga jamii forums kucheka bwana..
ha ha ha haaa
ha ha ha haaa
Unatafuta kifo cha kujitakia utakapo ona msg ikimsifia jinsi anavyotoaga 0713 kwa ufundi wa hali ya juu
Ila tunakoelekea kubaya sana... Piga tu, (PT)Unatafuta kifo cha kujitakia utakapo ona msg ikimsifia jinsi anavyotoaga 0713 kwa ufundi wa hali ya juu
nashindwa kukuelewa mpaka leo bado hujafanikiwa wakati mimi nimeitrack simu shosti kupitia huu uzi wako. Unachotakiwa kutambua hio application unaiweka kwenye simu ya mpenzi wako halafu wewe utakuwa unazipata sms zote anazotuma na anazotumiwa pamoja na kuona simu zote anazopiga na anazopigiwa kwa kulog in kupitia pc au simu, maana unapo install hiyo application, utaweka user name pamoja na pasword ambayo utakuwa unatumia kuingilia kwenye hiyo tovuti ili kuona rekodi ya device ya mpenzi. TAMBUA SMS HAZIINGII KWENYE SIMU YAKO. Kwa yoyote anayetaka maelezo zaidi piga 0759262635 wida