Nitawezaje kuwa hacker

Nitawezaje kuwa hacker

Badala tujifunze kukabiliana na wahalifu, tunajifunza kuwa wahalifu.

Nauliza tena, Nawezaje kujilinda na hacker?
 
JF sio sehemu ya kuomba ushauri kabisa. Nilijua nini kitatokea ktk hii thread. Toka jana.... Watu wanabishana uongo. Watu wanataka wajione ma -pro... Wanadharau mawaZo ya wengine. Sio siri watu wanatoka mapovu sana humu....
Rapha i hope umejionea ujinga uliopo ktk hii thread. Kama una "eagle eye" i hope ushaona ujinga na upuuzi humu wa baadhi ya watu wachache... Ni zaidi ya ule niliomaanisha jana.



Humu ni "where we dare to lie openly"



Thanks in advance.

Umeongea vyema anachokitaka rapha sidhani kama anaweza kukipata humu in professional way his mind was consumed by Hacking Atms, passwords which is illegal na kitampeleka pabaya coz atabase kujifunza kuhack atasahau kwamba he can be tracked n caught my advise to rapha jifunze vitu kama programming, network engineering u can have a well paid job bt the way u think inakuwa kama myth. If ur serious want to become a hacker tafuta scholarship ya M.I.T may god be with u.
 
Last edited by a moderator:
Badala tujifunze kukabiliana na wahalifu, tunajifunza kuwa wahalifu.

Nauliza tena, Nawezaje kujilinda na hacker?

Vijana tunataka shortcut ambazo kwa kuongea nirahisi ila kutenda ndo issue badala ya kusoma na kusolve problems zinazohusiana na cyber security eti tunataka tuwe hackers wakat mtu hata linux o.s haijui dah.
 
JF sio sehemu ya kuomba ushauri kabisa. Nilijua nini kitatokea ktk hii thread. Toka jana.... Watu wanabishana uongo. Watu wanataka wajione ma -pro... Wanadharau mawaZo ya wengine. Sio siri watu wanatoka mapovu sana humu....
Rapha i hope umejionea ujinga uliopo ktk hii thread. Kama una "eagle eye" i hope ushaona ujinga na upuuzi humu wa baadhi ya watu wachache... Ni zaidi ya ule niliomaanisha jana.



Humu ni "where we dare to lie openly"



Thanks in advance.

KisomaX
Watoto wakike hupenda sana kuweka vitu moyoni, na hata kama mwenzie anapotea yuko radhi amwache apotee kuiko kumpa njia sahihi yakwenda/kufanya ili asiweze kupotea.
Huwa inasikitisha sana kuona mwanaume nae akifanya tabia kama hii ya wanawake, yaani kuona kabisa mwenzake anapotea or anakosea lakini hataki kumwambia.

Sababu hasa huwa nashindwa kuelewa, kwamba ni chuki binafsi au ni uoga,
na kama ni uoga then why mtu ajiite mwanaume kama atakuwa ni muoga ?
na kama ni chuki basi kwanini tuishi kwa chuki ?

Mnaposema watu humu wanadanganya na hamsemi ni wapi walipodanganya huo unakuwa ni upuuzi, tena hasa ni pale unapotaka kusema mtu kadanganya while huujui ukweli na ata ukiambiwa useme huwezi, ni zaidi ya upuuzi.
tusipende tu kutaka kuonekana kwamba you also concerned with tha ongoing issue,
Sometimes huwa najaribu kuji underate ili niweze kuendana na baadhi ya watu kutokana na kile wanachokigusia while in real sence not, ila ilimradi tu niweze cop the situation,
i tend to judge anyone by what he say and think lakini kwasabu ye ni nani or he doing what, this will never happen, may be to another snipa.

Mi naonekana napenda sana malumbano na watu, i know that kwamba most entitle snipa like that, lakini hii inatokana tu nakujaribu kusema ninachokifahamu nakukijua kwamba ni right pale tu mtu atakapo kosea.
Sina chuki na mtu yeyote na wala sipendi chuki lakini my behavior isn't like snake skin siezi kuivua, that means siwezi kukuacha upotoshe watu bila kukwambia ninachokiona ni right.
Sipendi chuki na watu ndomana kuna recently days two/three weeks ago nilipoona people d'been blackened their eyes to engage in trouble with me, tena niliowaheshimu kabisa niliomba ID yangu ifutwe kwa invisible + moderator na wote nikaona kimya, sikuweza elewa ni kwanini.
na yet kuamua kwamba usiingie tu JF while you're being notified someone mention or quote you ni piss of sht.

For what mtu unachokipata JF kwamba uwe tu mtu wamalumbano na watu ?
always you see help help help me snipa help me help please hakuna faida yeyote unayoipata zaidi yakuwa knownable tu while you just loose much time on it, siitumii JF kuingiza pesa, na hainipi pesa as just like remaining maskini mwenye jina kubwa tu.
We've family, fiancee's and friends to spend with, being online in jf isn't an addiction like others ni just for having curiosity of helping others, ningekuwa verified/sipendi kuwa anon sawa ningeweza kuwa na rage of friends lakini kwasabu ndo hivi i've been masked unakuta mtu wako wakaribu kabisa unamjua on JF yet unamwacha tu.
lakini nafanya hivi kwasabu tu ya kujidefend myself, someone angejua who's really snipa angeshangaa tu.

Sipendi chuki na watu my mother has taught me to be a good person on cyber space.

SOME DAY IT WILL ALL COME TO AN END.
 
Last edited by a moderator:
Stefano Mtangoo

Mkuu kama nakumbuka vizuri ulitengeneza IDE ya PHP, umeiopen source kwenye GitHub au source yoyote naweza kuiona?
Nope. ni Closed source. Actually Naiandika Upya ili kupambana na PHPStorm. Natamani Tanzania tuwe tunanunua vya kwetu kwa hela ya kwetu na bei ya kwetu (Tu export products kusaidia shilingi yetu 😉 )
 
Wakuu,

Uhacker ni kipaji cha kuzaliwa au ni kitu chakujifunza!?
Kama ni cha kujifunza nisome kozi gani ili niweze kuwa hacker!?



Kuwa Hacker ni kitu cha kujifunza

Inakubidi uchukue masomo ya computer science kukusaidia yafutato ambayo nimeandika kwa kufupisha
.kuwa na msingi mzuri wa mifumo ya computa inavyofanya kazi, kuandika code za mifumo kama OS au application pamoja na utengenezaji wa software kozi hii iko very generalized na kuna programing languages nyingi i.e, Java, C, C++, C#, PHP n.k, ingawaje unaweza kujifundisha language specific kulingana na mahitaji yako(mfano language nzuri for programming beginner ni python)

.Kuwa na uwezo kutambua, kuunganisha na kuboresha mifumo mbalimbali ya network, jinsi gani mawasiliano yanafanyika kwenye routers, switches or gateways au Public-facing systems; websites, DMZ, e-mail servers, and remote systems, DNS, firewalls, proxy servers, FTP, and web servers, Internet uelewa mzuri wa OSI Model na TCP/IP unahitajika

Ingekuwa bora kujifunza penetration testing kwa nia ya kujua ni kwa namna gani hackers wanaweza kushambulia mfumo wa computer na kufanikiwa, ili uwe na uwezo mzuri wa kujilinda au kuwalinda wengine na mashambulizi na kuhakikisha security systems zako, firewalls, IDS, IPS etc ziko salama kwa muonekano wa hacker

Hata hivyo itakuhitaji muda na nia ya dhati sababu technolojia hubadilika kila siku hivyo ni muhimu kuwa unachukua muda wako maalum kwa kuingia online na kujisomea
 
JF sio sehemu ya kuomba ushauri kabisa. Nilijua nini kitatokea ktk hii thread. Toka jana.... Watu wanabishana uongo. Watu wanataka wajione ma -pro... Wanadharau mawaZo ya wengine. Sio siri watu wanatoka mapovu sana humu....
Rapha i hope umejionea ujinga uliopo ktk hii thread. Kama una "eagle eye" i hope ushaona ujinga na upuuzi humu wa baadhi ya watu wachache... Ni zaidi ya ule niliomaanisha jana.



Humu ni "where we dare to lie openly"



Thanks in advance.

jf ni platform ya ku Shere wht we have in our knowledge na kila mtu anayo rights ya ku shere kile akijuacho na kupishana mawazo ni moja ya kuongeza knowledge no one is getting pay here for shereling something mimi na mkuu snipa tulipishana mawazo na kila mtu alikuwa anatetea akijuacho kupishana idea is part of professional way c kutukanana tunaelekezana In proper way then we come with better solution respect 4 @ snipa
 
Last edited by a moderator:
Leo ni jumapili naomba niungane mkono na Dreson4 hivyo sitojibu chochote. Kwasababu nitakapjibu mtaanza kujibu na nyie tutatengeneza convo. Isiyo na umuhimu wala mantiki ktk hii thread ya watu........ Mtamwagika tu mapovu once again... Hivyo napenda kuwatakia weekend njema nyie na familia zenu. Am done with you guys snipa izzo



Thanks in advance
 
Last edited by a moderator:
inabidi useme unataka kuhack nini? kila kitu kina kiwango chake hata software zinatofautiana, unataka kuhack email ya mpenzi wako?hiyo ni rahisi sana, ila kama unataka kuhack software za mahesabu ya bot au CIA ya marekani itabidi usome mpaka nywele zikimbie kichwani.
 
inabidi useme unataka kuhack nini? kila kitu kina kiwango chake hata software zinatofautiana, unataka kuhack email ya mpenzi wako?hiyo ni rahisi sana, ila kama unataka kuhack software za mahesabu ya bot au CIA ya marekani itabidi usome mpaka nywele zikimbie kichwani.

je ni kweli kwamba kila hacker wa software za hesabu kama ulivyosema nywele zao zimekimbia?
 
je ni kweli kwamba kila hacker wa software za hesabu kama ulivyosema nywele zao zimekimbia?

huo ni msisitizo wa maana kwamba kisomo hicho sio chepesi wala lelemama.ingawa inawezekana ila inabidi juhudi sana.

ingekuwa ovyo watu na phd zao hawashindi kuingia bot na kujihamishia pesa kwenye account zao na kutokomea kusiko fahamika
 
Thanks for assuring me kwamba its possible to impersonate the robot, let me work on it.
Nadhan kuhack kwenye hizi social medias na websites ni rahisi zaidi kuliko kuhack kwenye computer systems.


Mfano, Mtu anayehack kwenye ATM kwa kuingiza kadi na anaiconverse ATM kwamba ana account na ina pesa hivyo impe pesa na ATM ina release pesa, je anatakiwa awe banker wa bank husika kwanza?
NB: Hapa siongelei wale wanaotumia skimming devises


Mkuu, itabidi niwe mmoja wa JF engineers ili kupata access ya kuvifahamu hivyo vitu? by the way, nadhan inabidi niifahamu kwanza komputa kuliko navyodhani naifaham.

You are going way too fast and reckless, which is unsafe. Cut speed bro, cut speed.
 
Badala tujifunze kukabiliana na wahalifu, tunajifunza kuwa wahalifu.

Nauliza tena, Nawezaje kujilinda na hacker?

Kwa nafasi ipi? Wewe binafsi? Wireless yako nyumbani? System unayo-administer? Simu yako? Account zako za social networks?

Hivi unajua hili swali linajibiwa effectively kwa degree yake?

Anyway the general rule is that you need to think and act like a hacker to be able to defend yourself from one. Ni lazima ujue hacker anafanyaje vitu vyake ili uweze kumzuia.

Mfano ukitaka kujua ilivyo rahisi kwa Jambazi kuingia nyumbani kwako na possible ways atakazotumia, nenda katupe funguo zako za nyumba baharini halafu ujaribu kuingia nyumbani kwako. Get the analogy please.
 
snipa sijawahi kuona coment yako ya kumsaidia/kumfundisha mtu humu zaidi ya kuwapinga wengine. Kwa nini?
 
Last edited by a moderator:
snipa sijawahi kuona coment yako ya kumsaidia/kumfundisha mtu humu zaidi ya kuwapinga wengine. Kwa nini?

Hata wewe comment yako hii inabidi nipinge, kwasabu ni uongo.
 
Last edited by a moderator:
You are going way too fast and reckless, which is unsafe. Cut speed bro, cut speed.
i just want to know how they do it, why they do it, technique used... knowledge is power mkuu!
 
Kali-linux is the upgraded version of Backtrack. These OS's are designed specifically for digital Forensics and Penetration Testing. It has over 600 preinstalled Penetration Testing programs. Every hacker knows of Metasploit Framework which is a tool for developing and executing security exploits.

Hackers target platforms that are profitable. Linux is open-source. Windows has been the preferred choice within enterprise environments. This is because every other day you buy Antiviruses and security tools for it. Or where do you think Antivirus Companies make money from? They have a team of blackhats creating viruses and whitehats updating the Antivirus. They release the virus and you are forced to buy the updated Antivirus every year. In business this is what you call creating the demand for your product.
 
Hata wewe comment yako hii inabidi nipinge, kwasabu ni uongo.

Duuh! Sawa mi muongo, niwekee link ya comment yako inayofundisha pengine mi ndo sikuiona snipa .....KAMA UMEZALIWA 1996 USISUMBUKE MAANA SINA TABIA YA KUBISHANA NA WATOTO (hii ipo kwenye screenshort yako uliyoweka kule kuhusu tigo na facebook) Chief-Mkwawa humu kuna kizazi cha Facebook hivyo kuwa makini
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom