Nitawezaje kuset dual sim, line zote ziwe na 3g ?

Nitawezaje kuset dual sim, line zote ziwe na 3g ?

Setting >More>3G hapo uta-set WCM ONLY

OK huwez kutumia line zote kwa wakat mmoja kwa mtandao wa 3g but unaweza ukaswitch bila ya kupona na kurudisha line. Umesema unatumia tecno, ili uweze kufanya hivyo, ingia settings, kwny kipengele cha wireless & networks nenda "more" halafu "mobile networks" halafu 3g service halafu enable 3g,ukifika hapo utaona line ambayo inatumika kama default kwa 3g imetikiwa blue, utaselect hiyo unayotaka isome 3g itakwambia kitendo hicho kirachukua mda wa sek 10 then click OK, ikimaliza basi, unaweza kutumia 3g kwny hiyo line nyingine, na kubadili tena, fuata maelekezo yangu. Natumaini umepata msaada
 
Nilishawahi kutumia techno P5. Haiwezekani kuzifanya zote ziwe 3g Kwa wakati mmoja! Ila line yoyote Kati ya hizo 2 waweza ifanya I connect Kwa 3g ili mradi ni default data connection.

Unachotakiwa kufanya ni kuchagua default line for data connection kisha nenda system settings -
Mobile networks - 3g services - enable 3g (hakikisha default line yako ndo iko hapo - kama Soto yenyewe badilisha ili zifanane) na kwenye network mode hakikisha umechagua GSM/WCDMA (auto mode). Basi hapo tayari. Itategemea mtandao husika ukoje hapo.

nashukuru sana nimefanikiwa nimekuaminia .ilikua inanisumbua sana kuhamisha line
 
OK huwez kutumia line zote kwa wakat mmoja kwa mtandao wa 3g but unaweza ukaswitch bila ya kupona na kurudisha line. Umesema unatumia tecno, ili uweze kufanya hivyo, ingia settings, kwny kipengele cha wireless & networks nenda "more" halafu "mobile networks" halafu 3g service halafu enable 3g,ukifika hapo utaona line ambayo inatumika kama default kwa 3g imetikiwa blue, utaselect hiyo unayotaka isome 3g itakwambia kitendo hicho kirachukua mda wa sek 10 then click OK, ikimaliza basi, unaweza kutumia 3g kwny hiyo line nyingine, na kubadili tena, fuata maelekezo yangu. Natumaini umepata msaada

Mkuu hiyo njia kwa Tecno sidhani kama inawezekana maana line one ndo ina 3g hata ukitaka kuenable 3g inakuleyea line 1 tu kama alivyosema Njunwa wa mavoko
 
Last edited by a moderator:
Mkuu hiyo njia kwa Tecno sidhani kama inawezekana maana line one ndo ina 3g hata ukitaka kuenable 3g inakuleyea line 1 tu kama alivyosema Njunwa wa mavoko

Inawezekana mkuu!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom