Nitawezaje kuset dual sim, line zote ziwe na 3g ?

uludodi

JF-Expert Member
May 23, 2014
574
913
Natumia simu lain 2 sasa kwenye intanet nataka kutumia laini zote, ziwe zinasoma 3g. Niwe naseti wapi ili zisome zote 3g. Msaada kwasababu lain 2 inasoma E
 
Natumia simu lain 2 sasa kwenye intanet nataka kutumia laini zote, ziwe zinasoma 3g. Niwe naseti wapi ili zisome zote 3g. Msaada kwasababu lain 2 inasoma E
Hawezi lani line zote kusoma 3g kwa wakati mmoja. Ile unayotumia ndio isome 3g nyengine ibaki 2g.

Sent from my SM-G800H using Tapatalk
 
Hawezi kani line zote kusoma 3g kwa wakati mmoja. Ile unayotumia ndio isome 3g nyengine ibaki 2g.

Sent from my SM-G800H using Tapatalk

nashukuru ila minilijua inawezekana kuseti ikiwa leo nataka kutumia lain 2 na 3g niihamishe bila kuhamisha lain
 
nashukuru ila minilijua inawezekana kuseti ikiwa leo nataka kutumia lain 2 na 3g niihamishe bila kuhamisha lain
Hiyo yawezekana, nenda simcard manager > data service network chagua line unayotaka kutumia.

Sent from my SM-G800H using Tapatalk
 
si unajua mambo ya bando unakuta lain 1 hauna bando halafu lain 2 lipo.sasa kuhamisha kila mda kazi
 
Natumia simu lain 2 sasa kwenye intanet nataka kutumia laini zote, ziwe zinasoma 3g. Niwe naseti wapi ili zisome zote 3g. Msaada kwasababu lain 2 inasoma E

huwezi kufanya zote ziwe 3g , kama tatizo ni bundle basi line 2 ukitaka kuitumia ibadili iwe default
 
si unajua mambo ya bando unakuta lain 1 hauna bando halafu lain 2 lipo.sasa kuhamisha kila mda kazi

Simu gani unatumia?

Mm natumika DUOS ya samsung inatumia line mbili Nikiwa na bundle Sim Card 1 basi na enable 3G sim card 1 lkn sim2 inabaki 2G...siku nikiunga kifurushi SIM2 basi na disable kwanza SIM1 ili niweze KU SET 3g SIM2 Kisha nai activate SIM1 lkn yenyewe itabaki sim2 nayo

Simu za Tecno nilizotumia hiki kitu hakikiwepo yaani SIM1 slot ndo 3G hivo line ilokua SIM2 haitokaa ipate 3G

Hope nimekujibu
 
Simu gani unatumia?

Mm natumika DUOS ya samsung inatumia line mbili Nikiwa na bundle Sim Card 1 basi na enable 3G sim card 1 lkn sim2 inabaki 2G...siku nikiunga kifurushi SIM2 basi na disable kwanza SIM1 ili niweze KU SET 3g SIM2 Kisha nai activate SIM1 lkn yenyewe itabaki sim2 nayo

Simu za Tecno nilizotumia hiki kitu hakikiwepo yaani SIM1 slot ndo 3G hivo line ilokua SIM2 haitokaa ipate 3G

Hope nimekujibu

ahsante, ninatumia tecno
 
Nilishawahi kutumia techno P5. Haiwezekani kuzifanya zote ziwe 3g Kwa wakati mmoja! Ila line yoyote Kati ya hizo 2 waweza ifanya I connect Kwa 3g ili mradi ni default data connection.

Unachotakiwa kufanya ni kuchagua default line for data connection kisha nenda system settings -
Mobile networks - 3g services - enable 3g (hakikisha default line yako ndo iko hapo - kama Soto yenyewe badilisha ili zifanane) na kwenye network mode hakikisha umechagua GSM/WCDMA (auto mode). Basi hapo tayari. Itategemea mtandao husika ukoje hapo.
 
Mi natumia tecno H6 inasumbua sana kwenye Internet.. Naomba msaada wa setting!!!
 
Simu yangu haioneshi GSM/WCDMA Wala WCDMA inaonesha 3g only na 2g/3g auto.... Niko mbagala.
 
Ahsante... Sasa nikiweka 3g only haileti network kabisa... Ila nikiweka 2g/3g auto inaleta ila kwa kusuasua sana .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom