Nitawezaje ku-draw hela kwenye account ya Paypal

Nitawezaje ku-draw hela kwenye account ya Paypal

Inawezaa ukawaa ryt.. ilaa paypal bfo hutoii apaa so far option uliyonayo ni kuchukua ela paypal kuzituma kwa rafiki akurumie kwa westw union.. process yote iyo ni ndefu na price itakuaa juu.

Ila as I say juzii tuu ndo nimejuaa kuhusu hii kitu.. so myb baada ya kunzaa kutumiaa ntawaambia... maishaa kujaribuu ausio?
 
Daah na typo kichizii sijazoeaa smartphone zetuu izii nisamehen kwa hili
 
Daah na typo kichizii sijazoeaa smartphone zetuu izii nisamehen kwa hili

Usijali watu wengi tunazingua tukiwa kwenye simu

Ila umenifurahisha walau umevuka borders maana hapa kwetu competition nako imekua kubwa na watu wengi waloelimika wanataka watu wakuwafanyia kazi mtandaoni na walipwe kwa escrow
 
But if you wabt to try.. fo with Fiverr.com.. wao unalipwa dola 5 kwa any service. . So buyers hawaogopii kujaribuu na new guy.. utapooanza kazi nne au tano za mwanzoo ni shidaa cuz huwez kutengenezaa web kwa bei hiyoo..

ila take it as doing it for free.. baada yapoo utakuaa unapokeaa watu kwenye msg kama watatu per day.. so utaanzaa kuongeza bei lets say dola 50 kwa web.. now still reputation inavyokuaa wanaongezekaa so utapandaa tenaa...

ilaa wengi hawaodii ukizidishaa 150$. At least kwa mimi hawakukubali wengi.. so I settled kwenye 100 to 130... na usifanue mazinguoo bad review ya client inakuaribiaa kinomaa its like ebay.. una order kwa kucheki review
 
But if you wabt to try.. fo with Fiverr.com.. wao unalipwa dola 5 kwa any service. . So buyers hawaogopii kujaribuu na new guy.. utapooanza kazi nne au tano za mwanzoo ni shidaa cuz huwez kutengenezaa web kwa bei hiyoo.. ila take it as doing it for free..

baada yapoo utakuaa unapokeaa watu kwenye msg kama watatu per day.. so utaanzaa kuongeza bei lets say dola 50 kwa web.. now still reputation inavyokuaa wanaongezekaa so utapandaa tenaa... ilaa wengi hawaodii ukizidishaa 150$.

At least kwa mimi hawakukubali wengi.. so I settled kwenye 100 to 130... na usifanue mazinguoo bad review ya client inakuaribiaa kinomaa its like ebay.. una order kwa kucheki review

Hii kitu sijaelewa yaan mnatengeneza website alaf mnalipwa au
 
Try to google terms zilizotumikaa na website then utaelewaaa...
 
yaah its verified.. post za kuchekii verified zipo apa apaa.. inawweza chelewaa but within six days nathan utakua umeipataa
 
yaah its verified.. post za kuchekii verified zipo apa apaa.. inawweza chelewaa but within six days nathan utakua umeipataa

sijaelewa kama unanijibu mm au nani?

Nachouliza ulifungua aina gani ya account na iko verified?

N:B Nauliza hivo for a purpose maana Tanzania najua haturuhusiwi kupokea na ku withdraw hela

sasa wewe account yako inakua je inapokea hela
 
Mimi nachotaka kufanya ni na2mia proxy mfn za usa au uk then natafta vcc online then naithibitisaha paypal yangu hapo nitakuwa nina uwezo wa kusend au kurecieve money as long natumia proxy yangu na kucleare cache zangu kila wakati ili wasinilimit
 
Mimi nachotaka kufanya ni na2mia proxy mfn za usa au uk then natafta vcc online then naithibitisaha paypal yangu hapo nitakuwa nina uwezo wa kusend au kurecieve money as long natumia proxy yangu na kucleare cache zangu kila wakati ili wasinilimit

Mbona PayPal hawana complications za Location nimefanya transactions nyingi nikiwa kwenye VPN bila shida yoyote...
Na hiyo issue ya vcc unajua makato yake?
Mara ya mwisho nafatilia vcc ilikua juu zaidi kwa makato labda uwe unaplea hundreds to thousand $ per month
 
hebu nifanulie kidogo hapo @njunwa wamavoko yaani umefungulia paypal kwa ip ya tanzania na na una login kwa ip ya nje na umeweza fanya transaction maana paypal kuna system huwa zina monitor location kwa ajili ya maswala ya theft na umeveryfy kwa bank ya tz
 
hebu nifanulie kidogo hapo @njunwa wamavoko yaani umefungulia paypal kwa ip ya tanzania na na una login kwa ip ya nje na umeweza fanya transaction maana paypal kuna system huwa zina monitor location kwa ajili ya maswala ya theft na umeveryfy kwa bank ya TZ
Ndio mkuu nimefanya transactions nyingi enzi zile za TG na PD proxy bila shida yoyote...
Ila tu ukiweka Proxy kwenye browser wanakataa nisijue siku hizi maana proxy ni rahisi kuzi detect
 
yaah its verified.. post za kuchekii verified zipo apa apaa.. inawweza chelewaa but within six days nathan utakua umeipataa

Mkuu nakuuliza tena...
Ulifungua Premier acct au Business acct?

Je,paypal acct yako inaweza vipi kupokea hela maana tumefanya test nyingi hapa za kutumiana hazikukubali
 
Dear

-

-

Good day. My name is-Diona from PayPal Customer Support.

-

I understand that you have an inquiry on how can you start receiving payments online since you currently have a “Business” account. I’ll be glad to be of help.

-

PayPal does appreciate your eagerness to use the receiving payment feature through your PayPal account. However, as of the moment we would advise you explore other payment options that are available to you, such as bank transfer, checks and money orders to start receiving money since the said feature is currently not available to PayPal account holders in Tanzania.

-

Due to banking regulations in each countries or nations we are offered in and where PayPal needs to comply with, the features and services available vary and selected to fit the functionality to a certain jurisdiction.

-

Rest assured that we’re constantly working to offer more services in all countries that use PayPal. We’ll be sure to notify you once additional services and features are available in your country.
 
Hi, naomba minijuzee jinsii ya kutoa pesa paypal, nimekua nikifanya freelancing kwenye website na nimefikia kupata $200 per week(sio nyingi ila nikitu). shida yangu sasa hivi ni jinsi ya kuzitoa.. website nayotumia wana njia mojaa tuu, kukutumia kwa paypal. So any tips on this wakubwaa,?

Ulifanyaje mpka ukawa unapokea hela paypay yangu sipokei naona naweza kutuma tu nielimishe hapa
 
Ulifanyaje mpka ukawa unapokea hela paypay yangu sipokei naona naweza kutuma tu nielimishe hapa

Fungua kwa IP adress ya nje maana mwenyewe nimeweka hapo email walonitumia paypal isome hiyo post ya juu Tanzania hatuwezi fanya hicho kitu
 
Wakubwaa December 26 niliwezaa kupataa kad ya payoneer ambayo naweza kushusha mpunga from crdb, nbc na bank yoyote yenye master card service. Shukran zanguu nyingii kwa msaada wenu
 

Attachments

  • 1422535738660.jpg
    1422535738660.jpg
    32.4 KB · Views: 169
Wakubwaa December 26 niliwezaa kupataa kad ya payoneer ambayo naweza kushusha mpunga from crdb, nbc na bank yoyote yenye master card service. Shukran zanguu nyingii kwa msaada wenu

Futa hiyo picha haraka na usirudie kupost picha ya kadi namba zinaonekana wazi
 
Back
Top Bottom