kitowowoti
JF-Expert Member
- Feb 25, 2016
- 772
- 522
pole,atapatikana huyo,namba ya simu iko kwenye kitambilisho cha mpiga kura,uraia,leseni ya gari,ni rahisi tu,hili ni funzo tunapotuma fedha tuwe makini kwa kuwa kila kitu unaweza kuhakiki mwenyewe,kama jina unalijua ukifika pale neno la siri mtandao utakupa Jina,linganisha ndio ugonge 1.ndio gonga moja baada kujiridhisha,si hivyo,Niyeye mkuu, kwani hata namba aliokua akitumia haipatikani tena.
Pia nimefanya udukuzi kwa mambo machache na nikapata informations zake kadhaa
Kilicho tokea ni..... Nilichelewa kugundua makosa nili yafanya, na nilipo wapigia watu wa mtandao wakaniambia tayari muamala umeasha wezeshwa na jamaa tayari amesha zitoa.Ulifanya kosa kubwa sana, next time ikotokea tena wakuwapigia ni mtandao husika, wanaiblock fasta wanakurudishia, haina hata haja ya kutoa hela km io 50 uliomu offer. Pole mzee
Pole sana mkuuKilicho tokea ni..... Nilichelewa kugundua makosa nili yafanya, na nilipo wapigia watu wa mtandao wakaniambia tayari muamala umeasha wezeshwa na jamaa tayari amesha zitoa.
Hivyo ikanibidi kwanza nifanye kutafuta details za jamaa kabla ya kumpigia na tuliongea kiungwana kabisa..... Ghafla akapotea
szan kama huo.ni wizi jamaa.kaokota parachichi chini.ya mwembe mjadili uyo.syo.mwizi.Mkuu...
Huyu jamaa nilimtumia pesa kwa bahati mbaya nikiwa nafanya malipo kwa watu kadhaa.... Sasa baada ya kuwalipa wengine wote, nikapata sim toka kwa jamaa mmoja akiulizia malipo yake. Nami nikamjibu kwamba tayari nimefanya malipo kwa watu wote, lakini nikaamua kurudi kuhakiki kama nilikua sahihi.... Toba...[emoji87] [emoji87], nikakuta nimezituma kwa Venance Chiwalala.
Hapo nikaamua kumpigia sim na kumtaarifu kuhusu kilicho tokea king makosa kwa kumtumia pesa asio stahiki, kisha huyu jamaa akakubali na akaniahidi kuirudisha baada ya muda mchache, nami bila hiyana nikamwambia achukue 50,000 kwakua amekua muungwana.
Baada ya kuona muda unapita, ndipo nikaamua kumpigia tena na jamaa akawa amezima sim.
Hajapatikana kwenye namba ile hadi leo.
Hapo nikaamua kwenda toa taarifa police kuhusu tukio lile, na nikafungua kesi ya kuibiwa kwa njia ya mtandao.
Hapo bila kuchelewa nikaanza kufanyia kazi jambo hili na nikapata informations zake kadhaa
Uyo jamaa aliekataa kurudisha hela nae analo kosa maana kataarifiwa na yeye kakiri kuwa hela imeingia na kapewa offer ya elfu 50 lakini hakurudisha na hapatikani hewaniSa hiz usikute yuko mitaa anachoma kuku na bia mixer malaya........................ila kiundani naona jamaa hana kosa ...we ndo mwenye makosa.......................
Nenda Instagram katika zile page za umbea umbea maana wabongo wengi wanapenda umbea,Waambie hao wenye page wakutangazie pamoja na picha ya jamaa waiweke followers watamjua tu.Asante mkuu, najua umekosea kwa nia njema ya kuna saidia. Hivyo usjali