Nitatoa zawadi ya 200,000

mkuu jinsi dunia ilivo kijiji atapatikana punde si punde tu
 
huo ni kuchafuana brand!una uhakika gani kama ndio yeye?kosa ni kako au lake?kwa nini umejipa kazi ya polisi na mahakama?kama sio yeye uko tayari kumlipa fidia?achaupuuzi
Acheni kuchezea mitandao hawezi kuchepuka, sheria ya nchi inaeleza ukirushiwa pesa zisizo zako katoe taarifa polisi. Je alifanya hivyo.?.
 
huo ni kuchafuana brand!una uhakika gani kama ndio yeye?kosa ni kako au lake?kwa nini umejipa kazi ya polisi na mahakama?kama sio yeye uko tayari kumlipa fidia?achaupuuzi
Acha kutukana watu
 
Pole kwa mkasa mkuu
Bado nawashangaa wanaosema makosa ni ya mtumaji fine

Wamesahau kama bianadamu si mkamilifu

Pia inakuwaje ukipokea ujumbe ambao Wa vitisho vya kuuawa kwa njia ya SMS? Mbona huwa wanariport hata ukipokea fedha ambayo imetumwa kimakosaaa report pia.

Sema njaa ndio huwa zinatufanya tunasahau ubinadamu

Huyo jamaaa mzee mnyoooshe tu. Hakuna namna
 
huo ni kuchafuana brand!una uhakika gani kama ndio yeye?kosa ni kako au lake?kwa nini umejipa kazi ya polisi na mahakama?kama sio yeye uko tayari kumlipa fidia?achaupuuzi
We na wewe mbona unakua nanga mkubwa wewe?? Ume ambiwa mtu kakosea. Kaongea nae amrushie pesa zake jamaa kapotea kabisa. Swala lakujua kama ni yeye si line zake kasajili kwa jina lake?? Na kama alitumia kitambulisho cha mtu. Basi huyo mtu ata saidia polisi kumpata mtuhumiwa. Kwasababu pia ni kosa kisheria kutumia kitambulisho cha mwezako au kumpatia mtu kitambulisho chako atumie kama yeye. We sheria yako Ume okotea wapi wewe Mtu Wewe?? Embu waza huko. usi kurupuke tu kujibu kisa unajua kuna kilipa fidia.
 
Dah?? Mungu akuzidishie kwakweli
 
Huyu chiwalala kule face book linejinasibu kama liandishi la habari halafu kama lime abandon account yake maana iko almost empty
 
Mrejesho mkuu!
 
TCRA: Usimrudishie aliyekutumia pesa kimakosa mtandaoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…