Mwl Athumani Ramadhani
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 1,282
- 2,508
Wakuu
KIFO ndio fumbo pekee ambalo wanadamu tunaogopa. Watu hawaogopi tena kifungo cha Maisha jela wala faini zinazolipika.
ILI kuongeza tija kiutendaji na kuepuka ubadhirifu, wizi na UFISADI katika wizara mbalimbali nchini,ipo haja ya kuteua kada ambayo itakula kiapo cha KIFO!kabla ya kukabidhiwa kusimamia fedha za miradi ya Jamhuri.
Na kada yenye nidhamu hiyo ni wanajeshi pekee ambao wanauwezo wa kula kiapo hicho,nadhani sheria kali kama hii itaondoa kelele za ubadhirifu zinazoripotiwa na VYOMBO mbali mbali nchini!
Hili litatokea iwapo nikipewa FURSA ya kushika hatamu hapo Baadae kwa maslahi ya jamuhuri yetu!
Mungu IBARIKI nchi yetu Tanzania niipendayo Sana!
KIFO ndio fumbo pekee ambalo wanadamu tunaogopa. Watu hawaogopi tena kifungo cha Maisha jela wala faini zinazolipika.
ILI kuongeza tija kiutendaji na kuepuka ubadhirifu, wizi na UFISADI katika wizara mbalimbali nchini,ipo haja ya kuteua kada ambayo itakula kiapo cha KIFO!kabla ya kukabidhiwa kusimamia fedha za miradi ya Jamhuri.
Na kada yenye nidhamu hiyo ni wanajeshi pekee ambao wanauwezo wa kula kiapo hicho,nadhani sheria kali kama hii itaondoa kelele za ubadhirifu zinazoripotiwa na VYOMBO mbali mbali nchini!
Hili litatokea iwapo nikipewa FURSA ya kushika hatamu hapo Baadae kwa maslahi ya jamuhuri yetu!
Mungu IBARIKI nchi yetu Tanzania niipendayo Sana!