Uchaguzi 2020 Nitashangaa Wafanyabiashara kumnyima Magufuli kura

Kila nikikumbuka maamuzi magumu ya Rais Magufuli kuhusu Corona, sina shaka na utimamu wake na ujasiri.

Kwa kipindi kama kile ambacho nchi nyingi ziliamua kufunga biashara na shughuli nyingi za kiuchumi, mtu huyu aliamua kwamba wafanyabiashara waendelee na biashara zao na shughuli nyingine ziendelee.

Hakuna biashara iliyofungwa, lakini watanzania hawana shukrani wanasahau yote kisa mtu ambaye kwa ninavyomtazama mlengo wake si wa kimisimamo binafsi bali ya kuongozwa na anaowaamini.

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Magufuli anastaili kukamilisha kipindi cha miaka 10, uongozi si wa kubadilisha kama nguo. Tukipata kiongozi mzuri basi tumuache amalize awamu zote mbili.
wafanya biashara na wamachinga amewafilisi sana mzee ana gubu hataki kuona mtanzania anatajirika wawe tu level ya kuombaomba meko mwisho wake oct28 kwani amewapoteza ndugu zetu wengi na ni mbinafsi sana kwa masilahi yake
 
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Magufuli anastaili kukamilisha kipindi cha miaka 10, uongozi si wa kubadilisha kama nguo
Hizo kauli za uongozi si wa kubadilisha kama nguo ndiyo zinazotuweka njia panda kimaendeleo. Acheni kutisha watu na vikauli vyenu vya kipuuzi. Na si lazima kukamilisha miaka 10 kama umefanya mabaya tunakutoa tu
 
Na kila ukikumbuka biashara zilivyodorora, Mafrem yalivyofungwa kila mahali, TRA wanavyotupia kodi za ajabu na umati wa raia waliokuwa wanunuzi wa biashara hizo kukosa hela (uwezo) wa kununua tena biashara unajisikiaje kuhusu shaka na utimamu wake mkuu?
Biashara ziko hoi zinapumulia machine
 
Kila nikikumbuka maamuzi magumu ya Rais Magufuli kuhusu Corona, sina shaka na utimamu wake na ujasiri.

Kwa kipindi kama kile ambacho nchi nyingi ziliamua kufunga biashara na shughuli nyingi za kiuchumi, mtu huyu aliamua kwamba wafanyabiashara waendelee na biashara zao na shughuli nyingine ziendelee.

Hakuna biashara iliyofungwa, lakini watanzania hawana shukrani wanasahau yote kisa mtu ambaye kwa ninavyomtazama mlengo wake si wa kimisimamo binafsi bali ya kuongozwa na anaowaamini.

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Magufuli anastaili kukamilisha kipindi cha miaka 10, uongozi si wa kubadilisha kama nguo. Tukipata kiongozi mzuri basi tumuache amalize awamu zote mbili.
Kwa hiyo Korona ndio iwafanye wafanya biashara wampe Magufuli kura,hivi leo wafanyabiashara wamesahau TRA inavyowakomoa,Hivi unajua wafanya biashara wangapi wamefikisiwa na huyo Magu,au kuputia TRA yaani usiongee kabisa wafanya biashara na hii serikali ya kijahili
 
Hahaha minyoo buana. Unafikiri kuna pesa za bure siku hizi. Ngoja cocochanel akuambie vizuri

Ila tupambane tutatoboa tuu



Ha ha haaaaaaa...
Mvivu wa class A huyo.. aka mdokozi..

Kweli kabisa penye nia pana njia.. ndio maana nawashauri humu waanze hata kama wengi.. walivyoanza na vitambulisho vya 20K kwa mwaka.. na sasa wamepanda wanafurahia maisha yao..
 
Ha ha haaaaaaa...
Mvivu wa class A huyo.. aka mdokozi..

Kweli kabisa penye nia pana njia.. ndio maana nawashauri humu waanze hata kama wengi.. walivyoanza na vitambulisho vya 20K kwa mwaka.. na sasa wamepanda wanafurahia maisha yao..
Wacha tuendelee kupambana na vitambulisho vya 20k
Vinatusaidia kupata hata mikopo😁
 
Wengi waliofunga biashara zao sababu ya kodi ukikaa watakuambia ukweli walovyokuwa wakikwepa kodi kwa kutoa rushwa. Mfumo ulipoanza kufanya kazi sawasawa wamejikuta na mzigo mkubwa wa kurudisha biashara kwenye ukweli. Kumbuka hapa Ile chain yote inatakiwa kufuata utaratibu kwa sasa kitu ambacho kimepeleka mzigo mkubwa kwa mfanya biasha aliyekua akilipa kodi ya pango 1.5m kwa frame moja ambayo hiyo kodi pia haikua sawa.

Wenye frames za biashara nao wanalia imebidi wakubali kushusha bei baada ya wateja kushindwa. Ungewashauri kufanya restructuring, wapunguze gharama za uendeshaji wa biashara tuu ili kuendana na ukweli maana hamna namna ya kumkwepa kaisari

Kuna waliowahi wakakimbia nchi kabisa kuukwepa mkono wa sheria kwa kujua makosa yao, kuna kampuni ambazo zimetelekezwa na kufungwa kwa kukosa wamiliki, Walio segerea uchunguzi ukikamilika watapata haki zao

Kweli biashara zimedorora ila kuna maswali mengi ya kujiuliza hapo.
Na sio biashara za bidhaa tuu zilizodorora hata za huduma pia. Wapo waliokua wanafanya biashara za nyumba kupangisha wanalia, wapo waliokua wanauza ardhi viwanja na mashamba wanalia pia, wauza nyumba nao hivyohivyo.
Tulikua kwenye ulimwengu ambao sheria zipo lakini hazikua zikifuatwa, vyombo husika havikua vikifanya kazi zake inavyotakiwa.

Kama kwenye biashara ardhi valuers wametuingiza mkenge kwa kushindwa kuweka na kusimamia bei elekezi matokeo yake ni hizi stress tunazopitia sasa Mtu nilinunua eneo 2014 kwa 20M leo nina shida siwezi kuliuza japo kwa nusu bei. Wenye mali wanalia, taasisi za fedha wanalia ila yote ni sababu mfumo ulikua mbovu regulators hawakua wakifanya kazi zao kwa weledi
Tulikua na uchumi wa ajabu sana ambao umevurugika sasa, hakuna asiyeumia na haya mabadiliko hata tanzania ila hakuna namna

Wote tunapata maumivu ya mabadiliko lakini ni mabadiliko yenye heri Mjep cocochanel Kawe Alumni Bia yetu Themagufulianz BUSH BIN LADEN mugah di mathew tameer IDEGENDA NAWATAFUNA Msengapavi Next Man Nguseroh minyoo Wakudadavuwa
stakehigh Daby Erythrocyte
Extrovert
GENTAMYCINE
Uko sahihi mama D
Nchi karibu zoote zilizoendelea zimepitia maumivu tena makali kuliko haya tunayopitia sisi, ukifuatilia nchi nyingi kuna kizazi fulani kiliteseka hata wakafikia mafanikio waliyonayo

Hakuna serikali duniani itaweza kujiletea maendeleo bila kukusanya kodi kwa uhakika na kuweka mifumo thabiti ya kusimamia ukusanyaji kodi na kuziba mianya ya rushwa jambo ambalo kwa kiasi kikubwa serikali hii inajaribu kufanya
 
Kila nikikumbuka maamuzi magumu ya Rais Magufuli kuhusu Corona, sina shaka na utimamu wake na ujasiri.

Kwa kipindi kama kile ambacho nchi nyingi ziliamua kufunga biashara na shughuli nyingi za kiuchumi, mtu huyu aliamua kwamba wafanyabiashara waendelee na biashara zao na shughuli nyingine ziendelee.

Hakuna biashara iliyofungwa, lakini watanzania hawana shukrani wanasahau yote kisa mtu ambaye kwa ninavyomtazama mlengo wake si wa kimisimamo binafsi bali ya kuongozwa na anaowaamini.

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Magufuli anastaili kukamilisha kipindi cha miaka 10, uongozi si wa kubadilisha kama nguo. Tukipata kiongozi mzuri basi tumuache amalize awamu zote mbili.
Wafanya biashara wengi wamekimbia wengine wamefilisiwa
Wengi wamenyang'anywa Mali zao
 
Uko sahihi mama D
Nchi karibu zoote zilizoendelea zimepitia maumivu tena makali kuliko haya tunayopitia sisi, ukifuatilia nchi nyingi kuna kizazi fulani kiliteseka hata wakafikia mafanikio waliyonayo

Hakuna serikali duniani itaweza kujiletea maendeleo bila kukusanya kodi kwa uhakika na kuweka mifumo thabiti ya kusimamia ukusanyaji kodi na kuziba mianya ya rushwa jambo ambalo kwa kiasi kikubwa serikali hii inajaribu kufanya

Kabisa mkuu Mjep 👍
 
Wacha tuendelee kupambana na vitambulisho vya 20k
Vinatusaidia kupata hata mikopo😁

Kabisa kabisa... bantu ni kutakiwa kupambana.. uvuke kiwango cha 20K.. uanze kupaaa na kuonana na maafisa wa kodi.. ulipe kwa raha zako.. huku biz inapaaaaa... cha 20K unanunulia fremu kuwa kumbukumbu ya mazuri ya awamu hii...
 
Kabisa kabisa... bantu ni kutakiwa kupambana.. uvuke kiwango cha 20K.. uanze kupaaa na kuonana na maafisa wa kodi.. ulipe kwa raha zako.. huku biz inapaaaaa... cha 20K unanunulia fremu kuwa kumbukumbu ya mazuri ya awamu hii...
Watoto wa dada "wapwa" mnapeana tu moyo..mnadhani mtatamalaki milele eti!
 
Kwa hiyo Korona ndio iwafanye wafanya biashara wampe Magufuli kura,hivi leo wafanyabiashara wamesahau TRA inavyowakomoa,Hivi unajua wafanya biashara wangapi wamefikisiwa na huyo Magu,au kuputia TRA yaani usiongee kabisa wafanya biashara na hii serikali ya kijahili
Magufuri hajabadiri sheria za tra yeye ameamua kuzisimamia vyema
 
Kila nikikumbuka maamuzi magumu ya Rais Magufuli kuhusu Corona, sina shaka na utimamu wake na ujasiri.

Kwa kipindi kama kile ambacho nchi nyingi ziliamua kufunga biashara na shughuli nyingi za kiuchumi, mtu huyu aliamua kwamba wafanyabiashara waendelee na biashara zao na shughuli nyingine ziendelee.

Hakuna biashara iliyofungwa, lakini watanzania hawana shukrani wanasahau yote kisa mtu ambaye kwa ninavyomtazama mlengo wake si wa kimisimamo binafsi bali ya kuongozwa na anaowaamini.

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Magufuli anastaili kukamilisha kipindi cha miaka 10, uongozi si wa kubadilisha kama nguo. Tukipata kiongozi mzuri basi tumuache amalize awamu zote mbili.
Wafanya biashara wengi wamefilisiwa awamu hii, ntashangaa wampe kura
 
Kwani wamekamatwa na shria au na rais wewe vipi! Zamani watu wenye pesa mliwasema kuwa hawtii sheria na hawafungwi kwa sababu wana pesa iweje leo unalalamika. Kwa akili zako watu wenye pesa ni waovu sana mfano: mfanyabiashara el chapo wewe unavyoonekana ungekuwa rais ungemwacha bila kujali madhara ya biashara yake.
Weni wanaolalamikia biashara kufa ni chadema. Awali walisema hao ni mafisadi leo wanasema ni wafanyabiashara na wananyanyaswa.

Hii mijitu haina akili. Pakikosewa wanaimba Sana. Pakirekebishwa wanalaumu Sana. Lipi jema?
 
Nitawashangaa sana wafanyabiashara na watumishi wa serikali wa kada mbalimbali watakaompigia kura mtu aliyewakandamiza kwa miaka mitano mfululizo
Sioni tatizo watumishi kumchagua Magu. Pamoja na kukosa nyongeza za mishahara, lakini amefanya vizuri kwenye maeneo ya malipo ya kupanda madaraja na uhamisho. Nina miaka karibu 30 kwenye utumishi, sijawahi kuona malipo mazuri na ya uhakika kama awamu hii.
 
Kila nikikumbuka maamuzi magumu ya Rais Magufuli kuhusu Corona, sina shaka na utimamu wake na ujasiri.

Kwa kipindi kama kile ambacho nchi nyingi ziliamua kufunga biashara na shughuli nyingi za kiuchumi, mtu huyu aliamua kwamba wafanyabiashara waendelee na biashara zao na shughuli nyingine ziendelee.

Hakuna biashara iliyofungwa, lakini watanzania hawana shukrani wanasahau yote kisa mtu ambaye kwa ninavyomtazama mlengo wake si wa kimisimamo binafsi bali ya kuongozwa na anaowaamini.

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Magufuli anastaili kukamilisha kipindi cha miaka 10, uongozi si wa kubadilisha kama nguo. Tukipata kiongozi mzuri basi tumuache amalize awamu zote mbili.
Nilidhani mnajipya,kumbe mmeishiwa hoja!!!
Mnafunga kampeni kwa hoja nyepesi ivi!!!
 
Weni wanaolalamikia biashara kufa ni chadema. Awali walisema hao ni mafisadi leo wanasema ni wafanyabiashara na wananyanyaswa.

Hii mijitu haina akili. Pakikosewa wanaimba Sana. Pakirekebishwa wanalaumu Sana. Lipi jema?
Kujiunga na CHADEMA ni kama kucheza kamari mkuu
 
Back
Top Bottom