Nitashangaa sana endapo Magufuli atagombea urais 2020

juvenile davis

JF-Expert Member
Apr 13, 2015
4,752
4,449
Nasema nitashangaaa sana na nitaamini wanasiasa ni waongo na wanajua kucheza na maneno sana mithili ya msanii wa rap anapofanya freestyle..

Kwa mara nyingine tena jana nimemsikia raisi wangu Magufuri akisema kazi ya uraisi ni ngumu na hadi anaijutia hiyo nafasi,anafika mbali na kuwashangaa wanaoililia hiyo nafasi.sasa ni imani yangu kwamba mheshimiwa raisi anatamani kujiudhuru ila tu anaamua kumalizia ngwe yake ya miaka mitano ili kuepusha nchi isipate hasara.

Kwa sababu kama anaijutia nafasi ya uraisi ni wazi kabisa kwamba miaka mitano hii ikiisha hatogombea ili kutoendelea kujuta, nitashangaa sana kama 2020 (tukiwa hai), nikimuona anahangaika kwenye majukwaa ya kisiasa kutoa ahadi wakati nafasi hiyo inampa majuto na mateso makubwa.
 
Nasema nitashangaaa sana na nitaamini wanasiasa ni waongo na wanajua kucheza na maneno sana mithiri ya msanii wa rap anapofanya freestyle..kwa mara nyingine tena jana nimemsikia raisi wangu Magufuri akisema kazi ya uraisi ni ngumu na hadi anaijutia hiyo nafasi,anafika mbali na kuwashangaa wanaoililia hiyo nafasi.sasa ni imani yangu kwamba mheshimiwa raisi anatamani kujiudhuru ila tu anaamua kumalizia ngwe yake ya miaka mitano ili kuepusha nchi isipate hasara.kwa sababu kama anaijutia nafasi ya uraisi ni wazi kabisa kwamba miaka mitano hii ikiisha hatogombea ili kutoendelea kujuta.nitashangaa sana kama 2020 (tukiwa hai),nikimuona anahangaika kwenye majukwaa ya kisiasa kutoa ahadi wakati nafasi hiyo inampa majuto na mateso makubwa.
Wewe utakuwa ulikuwa mpiga dili...sasa kipindi hiki MASLAI yako ya kupiga dili za kijinga yamekatwa ndio maana unabwabwaja hapa...SASA WEWE KWA AKILI YAKO UNAONA NANI NI MBADALA WA MAGUFULI kutoka UPINZANI??????????hakuna mbadala WA MAGUFULI KWA SASA TOKA NJE YA CCM....
 
Wewe utakuwa ulikuwa ni KIBAKA...sasa kipindi hiki MASLAI yako ya kupiga dili za kijinga yamekatwa ndio maana una bwabwaja hapa...SASA WEWE KWA AKILI YAKO FUPI UNAONA NANI NI MBADALA WA MAGUFULI kutoka UPINZANI??????????hakuna mbadala WA MAGUFULI KWA SASA TOKA NJE YA CCM....
Na wewe unamiini katika hili? Na wahitimu wanavyolalamika walikua wanapiga deal wapi?
 
Nasema nitashangaaa sana na nitaamini wanasiasa ni waongo na wanajua kucheza na maneno sana mithiri ya msanii wa rap anapofanya freestyle..kwa mara nyingine tena jana nimemsikia raisi wangu Magufuri akisema kazi ya uraisi ni ngumu na hadi anaijutia hiyo nafasi,anafika mbali na kuwashangaa wanaoililia hiyo nafasi.sasa ni imani yangu kwamba mheshimiwa raisi anatamani kujiudhuru ila tu anaamua kumalizia ngwe yake ya miaka mitano ili kuepusha nchi isipate hasara.kwa sababu kama anaijutia nafasi ya uraisi ni wazi kabisa kwamba miaka mitano hii ikiisha hatogombea ili kutoendelea kujuta.nitashangaa sana kama 2020 (tukiwa hai),nikimuona anahangaika kwenye majukwaa ya kisiasa kutoa ahadi wakati nafasi hiyo inampa majuto na mateso makubwa.
Dhamira yoyote ya mtu makini ni kutimiza malengo aliojiwekea,kwa hali yoyote na vikwazo vyovyote.

Hivyo Magufuli ni lazima atachukua fomu kumalizia ngwe yake ili kutimiza malengo aliojiwekea.

Usibabaishwe na malalamiko yake kamanda,hata wewe kuna wakati unatamani usingezaliwa lakini ukiambiwe ufe utakubali?
 
Mtu anayelalamika hivyo, na ss tunategemea atatuletea maendeleo?

Inaonesha ssm walimlazimisha agombee uraisi ila moyoni mwake hakuwa tayari kuwa raisi.

Ndipo naanza kupata picha kwann alisimamisha ajira miezi 2 na akakaa kimya?
-Kwann fao la kujitoa halipo?
-Kwann mikopo imetolewa kwa wanafunzi wachache?
-Kwann hakuna increment?

~HAKUJIANDAA HATA VIPAUMBELE HAKUWA NAVYO.
 
Sivyo alivyomaanisha

Hiyo ni tafsiri yako wewe na sio alichokimaanisha Rais.....
Wewe ndiyo unataka kumlisha maneno kasema mwenyewe kuwa alibipu na simu imepokelewa na kazi hiyo ni ngumu anashangaa kuona wengine wanaililia !!??

Lakini kwa watu wazima tunajua alikuwa anatupiga changa la macho. Hawezi kuuachia utukufu achilia mbali kushinda
 
Wewe utakuwa ulikuwa ni KIBAKA...sasa kipindi hiki MASLAI yako ya kupiga dili za kijinga yamekatwa ndio maana una bwabwaja hapa...SASA WEWE KWA AKILI YAKO FUPI UNAONA NANI NI MBADALA WA MAGUFULI kutoka UPINZANI??????????hakuna mbadala WA MAGUFULI KWA SASA TOKA NJE YA CCM....
Kuna watu wa ovyo sana duniani?
Nafikiri elimu yako haijakusaidia lolote.
Hiv mtu akilalamika kuhusu
-kusimamishwa kwa ajira
-Fao la kujitoa
-Mikopo
-Increment
-Madeni ya mishahara
-Madawa
Nao wapiga dili?
UKIWA MFIA CHAMA NJAA HUONA KILA KITU KINACHOFANYWA NA CHAMA CHAKO NI KITAKATIFU
Pole sana. Ni tumbo lako ndilo linalokufanya usio na uwezo wa kufikiri na kila mtu anayelalamika unamuona ni mpiga dili tu.
 
Wewe utakuwa ulikuwa ni KIBAKA...sasa kipindi hiki MASLAI yako ya kupiga dili za kijinga yamekatwa ndio maana una bwabwaja hapa...SASA WEWE KWA AKILI YAKO FUPI UNAONA NANI NI MBADALA WA MAGUFULI kutoka UPINZANI??????????hakuna mbadala WA MAGUFULI KWA SASA TOKA NJE YA CCM....
CCM hakuna mtu hata mmoja, watu makini wamebaki upinzani.
Kwa mwendo huu CCM wanamalizia ngwe yao ili wanaume waingie kazini.
Shuhudia maneno haya!!
.
 
Nasema nitashangaaa sana na nitaamini wanasiasa ni waongo na wanajua kucheza na maneno sana mithiri ya msanii wa rap anapofanya freestyle..kwa mara nyingine tena jana nimemsikia raisi wangu Magufuri akisema kazi ya uraisi ni ngumu na hadi anaijutia hiyo nafasi,anafika mbali na kuwashangaa wanaoililia hiyo nafasi.sasa ni imani yangu kwamba mheshimiwa raisi anatamani kujiudhuru ila tu anaamua kumalizia ngwe yake ya miaka mitano ili kuepusha nchi isipate hasara.kwa sababu kama anaijutia nafasi ya uraisi ni wazi kabisa kwamba miaka mitano hii ikiisha hatogombea ili kutoendelea kujuta.nitashangaa sana kama 2020 (tukiwa hai),nikimuona anahangaika kwenye majukwaa ya kisiasa kutoa ahadi wakati nafasi hiyo inampa majuto na mateso makubwa.
Tutamuomba agombee kama hatataka.Bado tuna safari ndefu ambayo dereva makini ni mheshimiwa mtukufu dkt JOHN MAGUFULI.
 
Wewe utakuwa ulikuwa ni KIBAKA...sasa kipindi hiki MASLAI yako ya kupiga dili za kijinga yamekatwa ndio maana una bwabwaja hapa...SASA WEWE KWA AKILI YAKO FUPI UNAONA NANI NI MBADALA WA MAGUFULI kutoka UPINZANI??????????hakuna mbadala WA MAGUFULI KWA SASA TOKA NJE YA CCM....
Elewa alichomaanisha kwanza ndio povu likutoke!
 
Dhamira yoyote ya mtu makini ni kutimiza malengo aliojiwekea,kwa hali yoyote na vikwazo vyovyote.

Hivyo Magufuli ni lazima atachukua fomu kumalizia ngwe yake ili kutimiza malengo aliojiwekea.

Usibabaishwe na malalamiko yake kamanda,hata wewe kuna wakati unatamani usingezaliwa lakini ukiambiwe ufe utakubali?

Ngwe yake ni miaka mitano na sio kumi. Je baada ya ngwe yake (miaka mitano) kuisha atagombea tena?
 
Safarihii yeye aendikuchukua fomu, ila sisi watanzania wazalendo tuntaenda kumchukulia fomu na atapiga kampeni siku mbili tu.
Atapiga kampeni siku ya kufungua na kufunga kwakua kazi atakayokua a meifanya kwa miaka mitano itajipigia yenyewe kampeni sisi vijana wa kizalendo tutakua tukihamasisha watu waende kupiga kura tu.tukutane 2020 panapo majaaliwa.
 
Nasema nitashangaaa sana na nitaamini wanasiasa ni waongo na wanajua kucheza na maneno sana mithiri ya msanii wa rap anapofanya freestyle..kwa mara nyingine tena jana nimemsikia raisi wangu Magufuri akisema kazi ya uraisi ni ngumu na hadi anaijutia hiyo nafasi,anafika mbali na kuwashangaa wanaoililia hiyo nafasi.sasa ni imani yangu kwamba mheshimiwa raisi anatamani kujiudhuru ila tu anaamua kumalizia ngwe yake ya miaka mitano ili kuepusha nchi isipate hasara.kwa sababu kama anaijutia nafasi ya uraisi ni wazi kabisa kwamba miaka mitano hii ikiisha hatogombea ili kutoendelea kujuta.nitashangaa sana kama 2020 (tukiwa hai),nikimuona anahangaika kwenye majukwaa ya kisiasa kutoa ahadi wakati nafasi hiyo inampa majuto na mateso makubwa.
Kaz kuwa ngumu haimaanishi ndo uache. Vijana wengi wameajiriwa kwa kazi wasizizipenda lkn hawataki kuacha kazi..
 
Nasema nitashangaaa sana na nitaamini wanasiasa ni waongo na wanajua kucheza na maneno sana mithiri ya msanii wa rap anapofanya freestyle..kwa mara nyingine tena jana nimemsikia raisi wangu Magufuri akisema kazi ya uraisi ni ngumu na hadi anaijutia hiyo nafasi,anafika mbali na kuwashangaa wanaoililia hiyo nafasi.sasa ni imani yangu kwamba mheshimiwa raisi anatamani kujiudhuru ila tu anaamua kumalizia ngwe yake ya miaka mitano ili kuepusha nchi isipate hasara.kwa sababu kama anaijutia nafasi ya uraisi ni wazi kabisa kwamba miaka mitano hii ikiisha hatogombea ili kutoendelea kujuta.nitashangaa sana kama 2020 (tukiwa hai),nikimuona anahangaika kwenye majukwaa ya kisiasa kutoa ahadi wakati nafasi hiyo inampa majuto na mateso makubwa.


Tutaandamana TZ nzima ktk kila kona ya nchi yetu kumuomba/mshinikiza achukuwe fomu!
 
Back
Top Bottom