Yaani suala la mgonjwa sio kipaumbele tena sasa hivi!
Samaritan, ebu tueleze, ni kweli kuhusu hao manesi? najua KCMC inamilikiwa na taasisi inayoitwa GOOD SAMARITAN
Wasalaam,juzi kati nilikuwa Moshi kwa bahati mbaya nikawa na Mgonjwa ambae ni ndugu yangu alilazwa KCMC Hospital.
Sasa nikamtembelea hapo Hospital,lahaula,nilichokutana nacho pale sikutamani kuondoka,fahari ya macho jamani Manesi wameumbika jamani huko nyuma utadhani wameweka masponji,yaani kitu murua wakitembea utadhani wanafanya kusudi yaani mpaka nikapoteza umakini na mgonjwa wangu.
Nitarudi tena KCMC Hospital.
Ndugu yangu MpigfilimbiwaHamelin, mtu hunena yaujazayo moyo wake. Huyu jamaa kwa kweli amahitaji msaada, hivi katika hali ya kawaida ,tu unamgonjwa unaanzanje kuwaza haya mambo hadi unaahidi kurudi KCMC sio kumuona mgonjwa bali kuonana na wauguzi? Ina maana kwa lugha rahisi hatafurahia mgonjwa wake akipona haraka na kurusiwa kutoka hospitalini.