Nitarudi tena KCMC Hospital

Nitarudi tena KCMC Hospital

Kwa kweli dunia inaenda mwisho sasa kilichokupeleka umekiacha umefata ambacho hakikua heenh!!! Ulisalimika.wewe
 
Yaani wewe acha tuu,kuna Nesi mmoja alukuwa anatoka nje nikamfuatilia nyuma nyuma macho yote yakawa kwenye mrindimo akapanda Gari na mimi huyo mpaka Town nikashindwa kabisa kumuaga mgonjwa wangu. But kwa sasa amesharuhusiwa yupo home,lakini nitarudi tuu hata kama sina mgonjwa pale.

angalia usirudi kama mgonjwa
 
We naye mgonjwa,ukifika waambie wakuonyeshe wodi ya wagojwa wenye matatizo kama yako.Utaonyeshwa
 
Nadhani unajisikia vibaya sana kwa mgonjwa wako kupona, maana ungeomba uwe unalala nae huko ili tu ushuhudie mishemishe za manesi makoridoni
 
Wasalaam,juzi kati nilikuwa Moshi kwa bahati mbaya nikawa na Mgonjwa ambae ni ndugu yangu alilazwa KCMC Hospital.

Sasa nikamtembelea hapo Hospital,lahaula,nilichokutana nacho pale sikutamani kuondoka,fahari ya macho jamani Manesi wameumbika jamani huko nyuma utadhani wameweka masponji,yaani kitu murua wakitembea utadhani wanafanya kusudi yaani mpaka nikapoteza umakini na mgonjwa wangu.

Nitarudi tena KCMC Hospital.

Acha Tanzania na Watanzania waendelee kuwa masikini!!!
 
Wasalaam,juzi kati nilikuwa Moshi kwa bahati mbaya nikawa na Mgonjwa ambae ni ndugu yangu alilazwa KCMC Hospital.

Sasa nikamtembelea hapo Hospital,lahaula,nilichokutana nacho pale sikutamani kuondoka,fahari ya macho jamani Manesi wameumbika jamani huko nyuma utadhani wameweka masponji,yaani kitu murua wakitembea utadhani wanafanya kusudi yaani mpaka nikapoteza umakini na mgonjwa wangu.

Nitarudi tena KCMC Hospital.
omba urudi mahututi
 
aisee nipo moshi mitaa ya kiusa kuna mishe napiga ... kama vipi ngoja nikapime malaria kcmc this wikend ... manake sijui viwanja vya huku vyenye bebez wakali ...
 
aisee nipo moshi mitaa ya kiusa kuna mishe napiga ... kama vipi ngoja nikapime malaria kcmc this wikend ... manake sijui viwanja vya huku vyenye bebez wakali ...
Yaani Mkuu hautajutia muda wako,tena haina haja ya kwenda kupima Malaria wewe nenda ukae mapokezi au upitie korido kama mbili hivi uone maajabu ya KCMC na Utalii wa ndani.
 
Mkuu Yao nurse walikuwa wanatoka idara gani, kuna idara zinasifika kwa nurse wazuri




Wasalaam,juzi kati nilikuwa Moshi kwa bahati mbaya nikawa na Mgonjwa ambae ni ndugu yangu alilazwa KCMC Hospital.

Sasa nikamtembelea hapo Hospital,lahaula,nilichokutana nacho pale sikutamani kuondoka,fahari ya macho jamani Manesi wameumbika jamani huko nyuma utadhani wameweka masponji,yaani kitu murua wakitembea utadhani wanafanya kusudi yaani mpaka nikapoteza umakini na mgonjwa wangu.

Nitarudi tena KCMC Hospital.
 
Yaani wewe acha tuu,kuna Nesi mmoja alukuwa anatoka nje nikamfuatilia nyuma nyuma macho yote yakawa kwenye mrindimo akapanda Gari na mimi huyo mpaka Town nikashindwa kabisa kumuaga mgonjwa wangu. But kwa sasa amesharuhusiwa yupo home,lakini nitarudi tuu hata kama sina mgonjwa pale.

Acha ujinga!!!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom