Yaani wewe acha tuu,kuna Nesi mmoja alukuwa anatoka nje nikamfuatilia nyuma nyuma macho yote yakawa kwenye mrindimo akapanda Gari na mimi huyo mpaka Town nikashindwa kabisa kumuaga mgonjwa wangu. But kwa sasa amesharuhusiwa yupo home,lakini nitarudi tuu hata kama sina mgonjwa pale.
Mkuu Mgodo ukirudi tena uniambie ili twende wote maana sisi wengine ndio ugonjwa wetu huo.
Utanishitua na mimi ili tukafaidi wote huo utalii wa ndani.
Wasalaam,juzi kati nilikuwa Moshi kwa bahati mbaya nikawa na Mgonjwa ambae ni ndugu yangu alilazwa KCMC Hospital.
Sasa nikamtembelea hapo Hospital,lahaula,nilichokutana nacho pale sikutamani kuondoka,fahari ya macho jamani Manesi wameumbika jamani huko nyuma utadhani wameweka masponji,yaani kitu murua wakitembea utadhani wanafanya kusudi yaani mpaka nikapoteza umakini na mgonjwa wangu.
Nitarudi tena KCMC Hospital.
omba urudi mahututiWasalaam,juzi kati nilikuwa Moshi kwa bahati mbaya nikawa na Mgonjwa ambae ni ndugu yangu alilazwa KCMC Hospital.
Sasa nikamtembelea hapo Hospital,lahaula,nilichokutana nacho pale sikutamani kuondoka,fahari ya macho jamani Manesi wameumbika jamani huko nyuma utadhani wameweka masponji,yaani kitu murua wakitembea utadhani wanafanya kusudi yaani mpaka nikapoteza umakini na mgonjwa wangu.
Nitarudi tena KCMC Hospital.
Yaani Mkuu hautajutia muda wako,tena haina haja ya kwenda kupima Malaria wewe nenda ukae mapokezi au upitie korido kama mbili hivi uone maajabu ya KCMC na Utalii wa ndani.aisee nipo moshi mitaa ya kiusa kuna mishe napiga ... kama vipi ngoja nikapime malaria kcmc this wikend ... manake sijui viwanja vya huku vyenye bebez wakali ...
Acha Tanzania na Watanzania waendelee kuwa masikini!!!
Wasalaam,juzi kati nilikuwa Moshi kwa bahati mbaya nikawa na Mgonjwa ambae ni ndugu yangu alilazwa KCMC Hospital.
Sasa nikamtembelea hapo Hospital,lahaula,nilichokutana nacho pale sikutamani kuondoka,fahari ya macho jamani Manesi wameumbika jamani huko nyuma utadhani wameweka masponji,yaani kitu murua wakitembea utadhani wanafanya kusudi yaani mpaka nikapoteza umakini na mgonjwa wangu.
Nitarudi tena KCMC Hospital.
Yaani wewe acha tuu,kuna Nesi mmoja alukuwa anatoka nje nikamfuatilia nyuma nyuma macho yote yakawa kwenye mrindimo akapanda Gari na mimi huyo mpaka Town nikashindwa kabisa kumuaga mgonjwa wangu. But kwa sasa amesharuhusiwa yupo home,lakini nitarudi tuu hata kama sina mgonjwa pale.