JituParaTupu
Member
- Nov 20, 2008
- 92
- 9
Wakuu,
Naomba nisaidiwe. Mimi kimaumbile ni mnene na mzito. Siwezi kufanya mazoezi kwa sababu bado naugulia maumivu yaliyotokana na kuvunjika mguu. Siwezi kabisa kukimbia. Nitumie njia gani ili niweze kupungua uzito na unene huu?
Kama kuna anayefahamu siri ya kupungua kwa uzito kwa mwanamitindo Mustafa Hassanali tafadhali aniambie.
Natanguliza shukrani zangu kwa wale watakaokuwa serious kunisaidia.
Naomba nisaidiwe. Mimi kimaumbile ni mnene na mzito. Siwezi kufanya mazoezi kwa sababu bado naugulia maumivu yaliyotokana na kuvunjika mguu. Siwezi kabisa kukimbia. Nitumie njia gani ili niweze kupungua uzito na unene huu?
Kama kuna anayefahamu siri ya kupungua kwa uzito kwa mwanamitindo Mustafa Hassanali tafadhali aniambie.
Natanguliza shukrani zangu kwa wale watakaokuwa serious kunisaidia.