asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,039
Kwahiyo tuseme waifu kashamzidi kete?
hapo sasa sijui inakuwaje mkuu...
Kwahiyo tuseme waifu kashamzidi kete?
-Aisee wewe ni kiboko! 5 times over one night? Akina dada mna kazi...!
Nmemuonyesha dira mwenyeweMwambie mkeo aache kutumia viagra za kike(hehehehe. Najua hazipo) magoli matatu bado anakuletea ugomvi? Itakuwa alizoea migegedo mingi kabla hujamuoa.
Acha kumpotosha mwenzako mizizi ndio yenyewe,,,,
Habari wana MMU,
Siku hizi nahisi hii nanilihii..... yangu inaishiwa nguvu kabisa,idadi nimepunguza kutoka 5 per night hadi 3 kiasi kwamba hata mke wangu ananifikiria vibaya labda kuna mahali nagegeda na hivyo basi naishiwa hamu na kipochi chake -hali hii ina sababisha ugomvi wa mara kwa mara kwa sababu ya wivu nyumbani kiasi kwamba naanza kuichukia ndoa yangu.
Sasa katika pita pita yangu nilishawahi kupata stori ya viagra na shughuli yake,sasa je nitaipata wapi ili niu boot mgegedo wangu na furaha ya ndoa irudi kama zamani?5(per night or more.)
Nmemuonyesha dira mwenyewe
Sema lingine mkuu
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Habari wana MMU,
Siku hizi nahisi hii nanilihii..... yangu inaishiwa nguvu kabisa,idadi nimepunguza kutoka 5 per night hadi 3 kiasi kwamba hata mke wangu ananifikiria vibaya labda kuna mahali nagegeda na hivyo basi naishiwa hamu na kipochi chake -hali hii ina sababisha ugomvi wa mara kwa mara kwa sababu ya wivu nyumbani kiasi kwamba naanza kuichukia ndoa yangu.
Sasa katika pita pita yangu nilishawahi kupata stori ya viagra na shughuli yake,sasa je nitaipata wapi ili niu boot mgegedo wangu na furaha ya ndoa irudi kama zamani?5(per night or more.)
habari wana mmu,
siku hizi nahisi hii nanilihii..... Yangu inaishiwa nguvu kabisa,idadi nimepunguza kutoka 5 per night hadi 3 kiasi kwamba hata mke wangu ananifikiria vibaya labda kuna mahali nagegeda na hivyo basi naishiwa hamu na kipochi chake -hali hii ina sababisha ugomvi wa mara kwa mara kwa sababu ya wivu nyumbani kiasi kwamba naanza kuichukia ndoa yangu.
Sasa katika pita pita yangu nilishawahi kupata stori ya viagra na shughuli yake,sasa je nitaipata wapi ili niu boot mgegedo wangu na furaha ya ndoa irudi kama zamani?5(per night or more.)
-Aisee wewe ni kiboko! 5 times over one night? Akina dada mna kazi...!
-Safi kabisa, nina wasi wasi huyu jamaa anajikojolea kojolea hovyo tu! Anaishia kumchafua mkewe tu! Hana utaratibu mzuri kama huu wako, na mimi!Huyu anapiga vya kuku.
Mimi napiga kamoja au viwili vya nguvu, demu anaenda mara 3 mpaka sita. Na hapo hataki tena mpaka ka kuamkia kamoja ka asubuhi.
Viagra hii makitu ikoje naisikiaga tu kwa watu
Jamaa anarukia tu ka baiskeli, ndo maana. Coz ukifuata principles kwamba mwanamke anahitaji romance ya not less than dakika 45 hufiki hiyo idadi.
Imagine mmelala saa 3 usiku, time for romance, show yenyewe, time to relax after orgasm, mkaoge pamoja, then muanze round nyingine!
Mleta uzi anahitaji kufunzwa malavi davi vinginevyo hamtendei haki mwenza wake......! So kabla ya kutafuta viagra, amwulize mpenzi wake kama alishawahi kufikishwa na hizo shoti 5 per night.
Per night, viwili tu vya uhakika vinatosha, mabinti hebu leteni ushahidi kama nadanganya.