Kama unaweza kufikisha raundi 3 basi wewe huhitaji viagra kwa sababu hata hizo raundi 3 ni nyingi kwa mapenzi ya kisasa. Achana na mapenzi hayo ya kizamani ambapo mwanaume kuonekana ngunguri alihesabu raundi kuanzia 5 na kuendelea. Mapenzi ya kisasa hata raundi moja inatosha cha msingi ni uwezo wa kumfikisha mwanamke kileleni mara kadhaa ndo kigezo cha umahiri wa mwanaume. Mimi mwenyewe ni mfano kwani katika raundi moja tu huwa namudu mechi kwa dakika 45 hadi saa moja na mwanamke kumfikisha kileleni zaidi ya mara 8. Ipi mechi nzuri, ile ya kukuruka raundi 5 bila kumfikisha kileleni mwanamke ama kukuruka raundi moja tu na mwanamke akafika kileleni mara kumi baada ya hapo anakupa 'ASANTE SANA' HALAFU analala kama mzoga kwa maana kuwa hana hamu tena.........naomba jibu