Samiaagain2025
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 2,926
- 3,054
Huyu jamaa ni bogaz kbs.Hata kuidai kila baada ya mwezi si ya kwako? Watunga sheria wenyewe wakimaliza tu miaka mitano wanachukua fao lao mbona hawaachi? Mtu analipwa mil 12 na mikopo hadi milioni 800 halafu yeye kajitungia sheria achukue fao lake kila mkataba wake ukiisha ila wavuja jasho wanaolipwa hela ya kula tu wamewatungia sheria wasichukue mafao yao mpaka wafikishe miaka 55.