Nitamtambuaje mwanamke aliyetoka kutoa mimba?

Alikuwa nayo kweli Mkuu, mwenye mimba ni mzanzi mwenzie kazaa naye mtoto mmoja mimi nimezaa naye wawili.
 
Ungekuwa hujalipia mahari usingeumia?
 
Alikuwa nayo kweli Mkuu,mwenye mimba ni mzanzi mwenzie kazaa naye mtoto mmoja mimi nimezaa naye wawili.
POLE sana.

Vp sasa umeshafanya Maamuzi tayari kuhusu huyo aliyekuwa Mkeo,, au bado unahitaji ushauri wetu Mkuu...??
 
Nimeshachunguza na nimejua alikuwa na mimba na hata mwenye mimba kamtaja,hakuna nilichokifanya zaidi ya kumtakia kila la heri na kuondoka zangu,tukiambiwa tusioe masingle mother mpaka tuone makaburi ya wazazi wenzao huwa hatuelewi mpaka yatukute.
 
Labda mimba iliyotolewa kwa kumeza miso...lakini mimba ya kufanyiwa procedure sahihi (kusafishwa) wala hutoi hata tone la damu. Yani kwa mbaaali hasa.
Definitely ni Misoprostol/cytotek angefanyiwa Manual Vacuum Aspiration jamaa asingejua
 
Nimeshachunguza na nimejua alikuwa na mimba na hata mwenye mimba kamtaja,hakuna nilichokifanya zaidi ya kumtakia kila la heri na kuondoka zangu,tukiambiwa tusioe masingle mother mpaka tuone makaburi ya wazazi wenzao huwa hatuelewi mpaka yatukute.
Sasa huoni ushaaribu kaka mnaumiza watoto, watoto wanahitaji malezi ya wazazi wote wawili kama sio kujua hivyo isingetokea hayo.
 
Labda mimba iliyotolewa kwa kumeza miso...lakini mimba ya kufanyiwa procedure sahihi (kusafishwa) wala hutoi hata tone la damu. Yani kwa mbaaali hasa.
Nakubali mjuzi.... Fundi.
 
Sihitaji ushauri wowote kwa sasa nimeshafanya maamuzi,ila kama kuna mtu anahitaji ushauri kutoka kwangu mlango u wazi.
Tabia ya huyo mkeo ndo ilikuwa mbaya. Hakuna uhusiano wowote na her social group
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…