Nitamjuaje mwanaume aliyenipakia mkongo?

Nitamjuaje mwanaume aliyenipakia mkongo?

Mwanaume mwenye Afya njema

Hutumia dakika kati ya 7- 20 tangu aingize uume kwenye papuchi ndio amwage

Zaidi ya hapo au chini ya dakika hizo atakuwa anaumwa
Huu ndio ukweli nashangaa mtu anasema dakika 3 for real. Wanaume tule vizuri tufanye mazoezi na tupumzike vizuri. Nakazia KUWA NA WASAA MZURI WA KUPUMZIKA. Mazoezi ya kukimbia ni mazuri sana. Fanya hii simple exercise for just a week. Fanya MAZOEZI YA KUKIMBIA ATLEAST 1KM( ni viwanja kumi tu vya mpira ndugu) kula vizuri hapa nakazia PUNGUZA VYAKULA VYA WANGA na VYAKULA VYA MAFUTA usisahau kunywa MAJI mara kwa mara usijiwekee limit ya litres miili yetu ina mechanisms ya kuondoa excess water. Matumizi ya POMBE ya PUNGUE japo nakili POMBE inaweza kuongeza performance ila sio njia sahihi...LALA KWA MASAA NANE. fanya hivi lala saa tatu mpaka saa kumi na moja. For a better sleep sikiliza mziki unaopenda kabla ya kulala au angalia kitu unachokipenda kabla ya kulala ( lakini kisiwe kitu cha kufikirisha akili au kitu cha kuhuzunisha). Fanya hii kwa wiki moja straight halafu nenda kakutane na huyo mdada. Kama ulikuwa na shida utaona improvement unless pawe panatatizo la kiafya.
 
Mwingine uyu uku
Tatizo lenu ni kuwa hamjui vitu..mwanamke anapataga multiple orgasms..na ya kwanza anaweza kuipata ndani ya dk mbili..na hapo sio kwamba ndo mwisho wa kumgegeda,ukiendelea ataendelea kuunganisha hadi atachoka,i.e kuridhika...

So point yako ya kusema hawezi kufika ndani ya dk tatu ni utopolo.
 
Habari wakuu, mbali na kuchelewa kumaliza, zipi Ni dalili nyingine za mwanaume aliyepaka mkongo?

Sijajua kama alikuwa ananikomesha au la, lisaa limoja si mchezo, unatoka magoti hayana na nguvu zimeisha,.

Muda ninaoupenda angalau dk30
Dakika 30 kwa bao moja au kwa shoo nzima
 
Huu ndio ukweli nashangaa mtu anasema dakika 3 for real. Wanaume tule vizuri tufanye mazoezi na tupumzike vizuri. Nakazia KUWA NA WASAA MZURI WA KUPUMZIKA. Mazoezi ya kukimbia ni mazuri sana. Fanya hii simple exercise for just a week. Fanya MAZOEZI YA KUKIMBIA ATLEAST 1KM( ni viwanja kumi tu vya mpira ndugu) kula vizuri hapa nakazia PUNGUZA VYAKULA VYA WANGA na VYAKULA VYA MAFUTA usisahau kunywa MAJI mara kwa mara usijiwekee limit ya litres miili yetu ina mechanisms ya kuondoa excess water. Matumizi ya POMBE ya PUNGUE japo nakili POMBE inaweza kuongeza performance ila sio njia sahihi...LALA KWA MASAA NANE. fanya hivi lala saa tatu mpaka saa kumi na moja. For a better sleep sikiliza mziki unaopenda kabla ya kulala au angalia kitu unachokipenda kabla ya kulala ( lakini kisiwe kitu cha kufikirisha akili au kitu cha kuhuzunisha). Fanya hii kwa wiki moja straight halafu nenda kakutane na huyo mdada. Kama ulikuwa na shida utaona improvement unless pawe panatatizo la kiafya.
Hivi vyakula vya wanga si ni ugali , wali n.k , napunguzaje kwa mfano ? . Maisha yetu haya haya ?
 
Back
Top Bottom