Game ya kwanza Uganda walitoa sare na Niger..kwa kiwango walichoonesha Niger Kama game ya mwisho ni home na Niger wakaaamua kucheza Kama Jana basi Uganda ushindi wake kule ni sare,Algeria wanaweka timu dhaifu kwa Sasa,Cha kufanya ni 'kuongea' nao tupate sareKumbe unajua mpira.
Wajinga ni wale wanaoishi kwa matumaini wakati facts za kisoka (ambazo baadhi umezitaja hapo juu) zinawadai..
Kila la kheri stars..ila apambane na hali yake vilivyo.
Sare au kufungwa magoli machache. Its easy, as pie.
FUNZO KUU KWETU: Tujifunze mpira, elimu haina mwisho. INAWEZEKANA.
Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
Ww unazani tutawafungaje Algeriakwan tunauza nchi?
Niger wameahidi kulipa kisasi cha figisu za jana taifa za ball boys kuwaste time kwa kujirahisisha kwa uganda na kula kipigo cha kutosha ili stars isiende finals, so ujanja/ushamba wa jana unatucost, ikiwa hivyo ni sawa ili tujifunze kushinda fairlyUganda hii ambayo ni tiamaji tiamaji kama sisi tena inaenda ugenini kwa Niger
Yani mtu ameshafuzu amerelux bado anakukanda hapohapo kwako ujione unanafuu kuliko starsjana umeona mpira aliocheza kwa Algeria pamoja na kupigwa
Akicheza hivyo Niger anakufa
Bora tusifuzu kuepusha aibu kwenye mashindanoNafasi ya Taifa stars kupitia ni kubwa sana, ushindi wetu na Niger ulikuwa ni bahati ila Wana uwezo mkubwa kutushinda, sitegemei Uganda wakamfunga zaidi ya goli mbili sanasana itakuwa Uganda kufungwa, kutoa draw au Uganda kupata ushindi wa goli chache
Pia kufanya vizuri kwenye hizi mechi kunapandisha timu kwenye rank za CAF na FIFA. Kiufupi watatukanda vizuri tu 🤣😂🤣Algeria atatunza kikosi kwa sababu ipi
Kwa sababu vikosi huwa vinatunzwa kwa sababu maalum
Wenzetu wanapenda kutengeneza rekodi watupige 5 watengeneze rekodi zao
Ndo ivo mkuu, kudroo kule sio ni ngumu ila haiwezekani, tutapigwa tuSo unakubali matokeo yetu yako mikononi mwa mechi ya wenzetu ila c ya kwetu?
Kama umeangalia mechi za mwisho za ligi ya NBC, siku hizi ni ngumu sana kufix matokeo uwanjani. Wanaweza kuweka kikosi dhaifu lakini tunabebeka?Game ya kwanza Uganda walitoa sare na Niger..kwa kiwango walichoonesha Niger Kama game ya mwisho ni home na Niger wakaaamua kucheza Kama Jana basi Uganda ushindi wake kule ni sare,Algeria wanaweka timu dhaifu kwa Sasa,Cha kufanya ni 'kuongea' nao tupate sare
Kwani wa Algeria hawataki ule mgodi wa dhahabu Geita
QumaninaaGame ya kwanza Uganda walitoa sare na Niger..kwa kiwango walichoonesha Niger Kama game ya mwisho ni home na Niger wakaaamua kucheza Kama Jana basi Uganda ushindi wake kule ni sare,Algeria wanaweka timu dhaifu kwa Sasa,Cha kufanya ni 'kuongea' nao tupate sare
Tayar washafuzu sasa umchezeshe Mahrez ili iweje? Kama uliangalia game na Uganda wachezaji wengi tu walikuwa wapya kwenye kikosi muulizeni Aucho walichomfanya wenyewe eti mnamwita Dr.Algeria atatunza kikosi kwa sababu ipi
Kwa sababu vikosi huwa vinatunzwa kwa sababu maalum
Wenzetu wanapenda kutengeneza rekodi watupige 5 watengeneze rekodi zao