naomba uninunulie blackberryHivi Blackberry bado zipo sokoni?
Kuna demu 1 nilikuwa naye chuo, juzi nimekutana naye akaniambia kuwa tarehe 7 mwezi huu ni Birthday yake,
akaniomba nimnunulie zawadi, nikamuuliza zawadi gani utataka? Akaniambia zawadi yoyote.....Nikamuuliza tena je kama
nitakununulia simu ya Blackberry, akaniambia kama nitamnunulia BB atanibeba juu juu...
Mpaka sasa hivi sijui huku kubebwa kukoje?? Atanibeba kwa kuninyanyua kama mtoto? Au kuna maana nyingine,
Maana nimeogopa kumuuliza asije niona mshamba, Wana Jf naomba mnijuze..
Hivi Blackberry bado zipo sokoni?
naomba uninunulie blackberry
am happy you are back to your normal!!utambeba juu juu!!!naomba uninunulie blackberry
we Nyani Ngabu,unataka kusema hupendi kubebwa juu juu!!Jinunulie mwenyewe.
Hivi Blackberry bado zipo sokoni?
avae na skintight manake kubebwa juu juu putura ama teitei haikawii kuvuka.Siku ya tukio usisahau kubeba dume mkuu,lolote laweza kutokea!!
siku ya tukio usisahau kubeba dume mkuu,lolote laweza kutokea!!
avae na skintight manake kubebwa juu juu putura ama teitei haikawii kuvuka.
na lisipotokea akarudi na madume yake!!!!1