Ulitaka atumie fedha za nani? hivi ulikwenda NSSF kudai mafao yako ukaambiwa hakuna.
Acha kufikiri kwa kutumia kiuno. sheria ya mafao imeshasainiwa lakini huonekani kuwa unafahamu chochote. Deni la taifa limekua kwa zaidi ya mara tatu katika kipindi cha miaka mitano tu. Naomba uniambie fedha hizo zimepelekwa wapi? Kwanini pia hawataki ukaguzi ufanyike ktk matumizi ya deni la taifa? Unafikiri kimagamba magamba ndio maana huwa hupendi kuumiza kichwa.