Nitakavyomkumbuka JK

Nitakavyomkumbuka JK



An-architectural-impression-of-the-Kigamboni-bridge.jpg


An architectural impression of the Kigamboni bridge

Soma zaidi: Kigamboni bridge to be ready in 36 months

Zomba hata hili daraja,mabasi ya kwenda kasi na hata fly over mtu atakayewezesha ni Dr. P.magufuli ndio maana alirudishwa hapo ili mambo yatekelezeke na lipatikane la kuongea ...angewekwa msimamizi msanii msanii wanaopenda kuuza sura kwenye media tungeingia chaka na zingebaki kuwa ndoto. Hongera kwa magufuli hapa japo wapenda vyeo na popularity ambao utendaji ni zero na media njaa wanampiga fitina sn huyu jamaa asikubalike kwenye jamii=hope msg delivered na uhakika unalijua hili Bro.
 

kuongezeka kwa udahili katika vyuo vikuu ambapo udahili wa wanafunzi umeongezeka kutoka wanafunzi 40,993 mwaka 2005 na kufikia wanafunzi 111,078 mwaka 2010.


2012 Wangapi?

Vipi zile data za walio faulu bila kujua kusoma na kuandika mbona sizioni???
 
Rais aliyewahi kuwaambia watumishi wa umma back in 2010 kuwa hahitaji kura zao (walipotishia kugoma kwa kudai nyongeza ya mshahara) coz inside him alifahamu fika watumishi wa umma ni wachache kuliko umma wa wajinga wanaohemea tumbo ambao watampigia LIKE kwenye sanduku la kura... bila kusahau zile za wizi...:A S cry:
 
rais ambaye akitaka kutoa yake ya moyoni hadiriki kuwakusanya watu wenye exposure badala yake anaenda kuweka kikao cha mipasho na wazee wa Dar es Salaam (I think ni wa Bagamoyo...anyway, no offense)
 
Rais ambaye pamoja na kuitwa "brain dead idiot" na wazungu bado hana pride ya kutulizana hapa home na kuacha kwenda kwao kuomba...
 
ambaye ameteua jaji ambaye bado yupo kwenye uwezekano wa kupata Supp ya Law of Contract na Development Studies :yawn:
 
rais aliyekwenda kupiga picha na 50cent na boyz2men! mwenye zile picha aniwekee niusuuze moyo wangu! pathetic!

Wivu huo. Mbona hii hamsemi?

[h=1]Kikwete receives LID Baton, Tanzania to host Langkawi International Dialogue[/h] Malaysian Prime Minister Najib Abdul Razak hands over a symbolic ball to President Dr. Jakaya Mrisho Kikwete signaling that Tanzania has been honoured to become a host to the next Langkawi International Dialogue(LID) in 2013. The colourful handover ceremony was held at Putrajaya Convention Centre in Malaysia this morning. The Langkawi International Dialogue (LID is part of Smart Partnership dialogue series which promotes principles and practice that leads to creative cooperation between government and other sectors with the aim to achieve economic growth and prosperity (Photos by Freddy Maro)

Malaysian Prime Minister Najib Abdul Razak hands over a symbolic ball to President Dr. Jakaya Mrisho Kikwete signaling that Tanzania has been honoured to become a host to the next Langkawi International Dialogue(LID) in 2013. The colourful handover ceremony was held at Putrajaya Convention Centre in Malaysia this morning. The Langkawi International Dialogue (LID is part of Smart Partnership dialogue series which promotes principles and practice that leads to creative cooperation between government and other sectors with the aim to achieve economic growth and prosperity (Photos by Freddy Maro)

Source: Kikwete receives LID Baton, Tanzania to host Langkawi International Dialogue | Tanzania news - TheHabari - Blog Tanzania
 
- Rais aliyeanguka jukwaani mara nyingi kuliko marais wote duniani.

- Rais aliyevamiwa na watu akiwa jukwaani mara nyingi kuliko marais wote duniani.

- Rais aliyekaribisha wanamuziki wa kizazi kipya ikulu mara nyingi kuliko marais wote duniani.

- Rais ambaye chini ya uongozi wake ikulu imekuwa mahali rais kuingia ikilinganishwa na marais wengine wote duniani.

- Rais aliyeweka rekodi ya kutembelea maeneo ya starehe akiwa kwenye "state visit" nje ya nchi kama vile kutembelea clubs za mpira wa kikapu Marekani, Real Madrid Hispania, kubembea Jamaika, n.k.

- Rais anayeoongoza kwa KUOMBA kupiga picha na wanamichezo na wasanii maarufu duniani.

- Rais ambaye chini ya uongozi wake chuki za kidini zimeibuka na kutawala akili za wananchi.

- Rais ambaye chini ya uongozi wake maandamano ya wananchi kupitia makundi mbalimbali ya kijamii imekuwa ni sehemu ya maisha ya kawaida.

- Rais ambaye kwa mara ya kwanza TUCTA ilikataa kumualika kuwa mgeni rasmi kwenye sherehe za mei mosi.

- Rais ambaye amefanya ziara hapa nchini za mikoani, wilayani na vijijini mara chache kuliko marais wote waliomtangulia.

- Rais ambaye chini ya uongozi wake wimbo wa taifa ulishindikana kuimbwa katika matukio mawili tofauti na muhimu ya kitaifa kwenye uwanja wa taifa Dar es Salaam.

- Rais amb........ (ngoja ninywe maji kwanza nitarudi niendelee na orodha ndefu)
 
- Rais aliyeanguka jukwaani mara nyingi kuliko marais wote duniani.

- Rais aliyevamiwa na watu akiwa jukwaani mara nyingi kuliko marais wote duniani.

- Rais aliyekaribisha wanamuziki wa kizazi kipya ikulu mara nyingi kuliko marais wote duniani.

- Rais ambaye chini ya uongozi wake ikulu imekuwa mahali rais kuingia ikilinganishwa na marais wengine wote duniani.

- Rais aliyeweka rekodi ya kutembelea maeneo ya starehe akiwa kwenye "state visit" nje ya nchi kama vile kutembelea clubs za mpira wa kikapu Marekani, Real Madrid Hispania, kubembea Jamaika, n.k.

- Rais anayeoongoza kwa KUOMBA kupiga picha na wanamichezo na wasanii maarufu duniani.

- Rais ambaye chini ya uongozi wake chuki za kidini zimeibuka na kutawala akili za wananchi.

- Rais ambaye chini ya uongozi wake maandamano ya wananchi kupitia makundi mbalimbali ya kijamii imekuwa ni sehemu ya maisha ya kawaida.

- Rais ambaye kwa mara ya kwanza TUCTA ilikataa kumualika kuwa mgeni rasmi kwenye sherehe za mei mosi.

- Rais ambaye amefanya ziara hapa nchini za mikoani, wilayani na vijijini mara chache kuliko marais wote waliomtangulia.

- Rais ambaye chini ya uongozi wake wimbo wa taifa ulishindikana kuimbwa katika matukio mawili tofauti na muhimu ya kitaifa kwenye uwanja wa taifa Dar es Salaam.

- Rais amb........ (ngoja ninywe maji kwanza nitarudi niendelee na orodha ndefu)

Vipi rais kivuli wa Tanzania Baba Junior, tushushe orodha yake? Ngoja niache mtaanza kulia na mods.
 
yaezekana akawa na mapungufu kama wengine ya kibinadamu lakin yapo mazuri aliyofanya c kwamba ni mabaya tu co anastahli pongezi pale alipopatia
 
Acha kufikiri kwa kutumia mdomo wewe,kwani huyo magufuli aliteuliwa na nani kama si raisi,au ulìtaka yeye raisi mwenyewe ndio asimamie,ingekuwa hivyo kusingekuwa na haya ya balaza la mawaziri,nadhani utakuwa umelewa
 
Raisi ambaye amevunja rekodi kwa kukimbia matatizo pind yatokeapo nchin mwake
 
Ulitaka atumie fedha za nani? hivi ulikwenda NSSF kudai mafao yako ukaambiwa hakuna....

Mkuu, mimi nilienda tarehe 23 august, nikaambiwa hakuna, hata zile form za kudai hizo fedha wameziondoa, na nilipodadisi nilambiwa nisubiri mpaka oktoba bunge litakapofanya marekebisho ya hiyo sheria ya kipuuzi! Kitu nilichokinote hata hao wafanyakazi wa NSSF wanalaani hiyo sheria, na wala hawakushirikishwa.

Mkuu Zomba acha kufanya propaganda humu JF kwa maslahi yako binafsi. Wapo watu wanaoumia na upuuzi unaofanywa na serikali hiyo unayoipigia debe.

Mwogope Mungu Zomba, ulikuja mtupu na utaondoka mtupu! wewe si wa kwanza na mimi si wa kwanza! Mbele za Mungu tutakuwa na la kujibu!! Kazi unayofanya ni haina tija kwa taifa, ni uchumia tumbo unakusumbua.
 
Raisi ambaye amevunja rekodi kwa kukimbia matatizo pind yatokeapo nchin mwake
Rais anayetumia sana TISS ili aendelee kubaki madarakani ingawa kwa majuto!
 
Chuo cha UDOM tunaangalia majengo au taaluma?

Mleta hoja kaeleza mambo 10 je hayo mengine hayasomeki?
 
Raisi aliyesomea uchumi halafu ameshindwa kutumia elimu yake kukuza uchumi
 
Back
Top Bottom