Ack
Member
- Dec 21, 2016
- 88
- 87
Wana JF wenzangu habari zenu!
Mimi naja mbele yenu kuomba maelezo ya kutosha na yenye mantiki Je ni kwa nini wanaume ndo tutoke mahali na sio mwanamke atoe kwa mwanaume??
Hii ni kwa maisha ya wengi hapa duniani, kuna mama nilmuuliza akasema mama wa mtoto yeye amehangaika sana kwenda leba kwan mama wa mwanaume yeye hakwenda leba??
Pendekezo:
Mahali inatakiwa iwe inatolewa na familia zote mbili kuwapa watoto wao kuonyesha wamekubali watoto wao wawe kitu kimoja na kuwawezesha waanze maisha yao mazuri, hata kama watachangia elfu 5000 tu. Sio unalipa 5,000,000 harafu ukishaoana munaenda kula tembele kila sku mwishowe ndoa kwisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi naja mbele yenu kuomba maelezo ya kutosha na yenye mantiki Je ni kwa nini wanaume ndo tutoke mahali na sio mwanamke atoe kwa mwanaume??
Hii ni kwa maisha ya wengi hapa duniani, kuna mama nilmuuliza akasema mama wa mtoto yeye amehangaika sana kwenda leba kwan mama wa mwanaume yeye hakwenda leba??
Pendekezo:
Mahali inatakiwa iwe inatolewa na familia zote mbili kuwapa watoto wao kuonyesha wamekubali watoto wao wawe kitu kimoja na kuwawezesha waanze maisha yao mazuri, hata kama watachangia elfu 5000 tu. Sio unalipa 5,000,000 harafu ukishaoana munaenda kula tembele kila sku mwishowe ndoa kwisha.
Sent using Jamii Forums mobile app