Mlengo wa Kati
JF-Expert Member
- Feb 16, 2011
- 2,730
- 492
Hivi Chadema mnawaza kushika hii nchi.Kweli maajabu yapo Chadema ganja sio kitu kizuri kabisa tena Kama chakula huli vizuri
Chadema wana matamanio ya nafsi kuchukua nchi jambo ambalo hawata weza na nina imani dr Magufuli ata shinda zaidi ya asilimia 70