.Na wawe tayari kuaanda mahali a kutuzikia maana watatuua wengi hatutakubali na wawe tayri kwenda the heague
Kwa mawazo yangu nadhani kauli hii si ya kutilia maanani sana....ikizingatiwa sehemu aliyoitolea ni kwenye sherehe za ccm....mbele ya wanaccm......na yeye ni mwenyekiti wa ccm na ni mwana ccm pia......ulitegemea aseme ataikabidhi nchi kwa chausta au udp????...... Profesa akiwaambia wanaCUF kwamba 2015 lazima wachukue nchi ni kosa?....... au Dk akiwaambia wana CDM kuwa 2015 iwe isiwe lazima washike dola ni kosa?? ....wakati mwingine tuangalie kauli hizi kwa kutilia maanani wakati, sehemu na tukio lenyewe.....Kauli hii imetolewa na JK mjini Kigoma wakati wa sherehe za miaka 36 ya CCM....
"Nitahakikisha nina kabidhi nchi kwa mgombea wa CCM na si vinginevyo"!
KAMA RAIS WA NCHI, SALAAM HIZI MAANA YAKE NINI?!!
Kasema ukweli kutoka moyoni mwake kazi kwenu kujipanga. Yeye na wenzake wanajipanga kuhakikisha CCM inakabidhiwa nchi 2015... na keshawaambia sasa sijui tufanye nini isiwe hivyo...
Kama kauli JK ameishatoa nyingi sana, hizi ni baadhi tu,,,,
''Wanafunzi wanapata mimba kwa ajili ya kiherehere chao''
''Nitaleta maisha bora kwa kila mtanzania''
''Tatizo la maji Daresalaam litakuwa historia''
''Ukitaka KULA lazime ULIWE kidogo''
Na nyingine nyingi, but all in all ukifuata kauli za FASTJET unaweza kuumiza kichwa chako maana huwa anaongea huku hajui anamaanisha nini.
Ndugu acha kuutumia vibaya Ubongo wako unajidhalilisha.Hivi bwana swai una ndoto za chadema kushinda urais?? Kuwa mkweli huwezi kutegemea ukoo mmoja usambae nchi nzima na kupewa nchi. Kighoma wameshasema hawachezi tena midundiko ya wapinzani wanataka uongozi si kupewa viroba orijino kurushia watu mawe
Kila ulichosema ni kwajili yangu pia
Kauli hii imetolewa na JK mjini Kigoma wakati wa sherehe za miaka 36 ya CCM....
"Nitahakikisha nina kabidhi nchi kwa mgombea wa CCM na si vinginevyo"!
KAMA RAIS WA NCHI, SALAAM HIZI MAANA YAKE NINI?!!
Kauli hii imetolewa na JK mjini Kigoma wakati wa sherehe za miaka 36 ya CCM....
"Nitahakikisha nina kabidhi nchi kwa mgombea wa CCM na si vinginevyo"!
KAMA RAIS WA NCHI, SALAAM HIZI MAANA YAKE NINI?!!