Nitakabidhi nchi kwa CCM: JK

Nitakabidhi nchi kwa CCM: JK

He real mean it jamaa hatanii hata kidogo.
Kila mtu anajua kuachia nchi ili wao wawe crucified ni ngumu sana.
Tujipange na sisi
 
Mzee "Maendeleo" hahahahaaaa hizi nickname nyingine kama matusi vile
 
Kau;li thabiti hii inayoendana na ukweli mchungu
 
jamani msisahau kuwa Bw. Maendeleo karibia mara zote akiongea in public huwa ni mzaha tu, na hili lichulie hivyo
 
Hivi bwana swai una ndoto za chadema kushinda urais?? Kuwa mkweli huwezi kutegemea ukoo mmoja usambae nchi nzima na kupewa nchi. Kighoma wameshasema hawachezi tena midundiko ya wapinzani wanataka uongozi si kupewa viroba orijino kurushia watu mawe
Huaongozwa na akili yako umeongozwa na ushabiki kuandika hayo uliyoandika, muda mwingine jaribu pia kushirikisha ubongo.
 
kwa jinsi alivyoibadilisha nchi kimaendeleo, hilo halina ubishi. hivi sasa nchi nzima imeunganishwa kwa mtandao wa barabara za lami, shule za sekondari kila kata kwann asiseme hayo aliyoyasema???????????????????????
 
Hivi bwana swai una ndoto za chadema kushinda urais?? Kuwa mkweli huwezi kutegemea ukoo mmoja usambae nchi nzima na kupewa nchi. Kighoma wameshasema hawachezi tena midundiko ya wapinzani wanataka uongozi si kupewa viroba orijino kurushia watu mawe

Sishangai,sababu ccm wanasema wanaongoza kwa ridhaa ya wajinga walio wengi,zidumu fikra za mwenyekiti
 
kwa jinsi alivyoibadilisha nchi kimaendeleo, hilo halina ubishi. hivi sasa nchi nzima imeunganishwa kwa mtandao wa barabara za lami, shule za sekondari kila kata kwann asiseme hayo aliyoyasema???????????????????????

Umesahau maisha bora kwa watanzania
 
Atajutia hiyo kauli ambayo ameitoa, ndipo atapo jifunza kufikiria kabla ya kuropoka.
 
Hivi Chadema mnawaza kushika hii nchi.Kweli maajabu yapo Chadema ganja sio kitu kizuri kabisa tena Kama chakula huli vizuri
 
Hivi bwana swai una ndoto za chadema kushinda urais?? Kuwa mkweli huwezi kutegemea ukoo mmoja usambae nchi nzima na kupewa nchi. Kighoma wameshasema hawachezi tena midundiko ya wapinzani wanataka uongozi si kupewa viroba orijino kurushia watu mawe

Huyo wa kgm aliyesema hivyo niwa ccm,je wachadema kama mimi tumekwambia hivyo? subirini mtaona.Kwanza nikipimo cha Mh zitto alivyo vuruga sherehe zenu,umeona madhara? pamoja nakukusanya watu kila mahara lakini uwanja haukujaa
 
hapendi chama kimfie mikononi. Cha msingi awaandae wanaccm na watanzania kisaikolojia kuukubali upinzani maana wakati mwingine hata hajui anasema nini. Si huwa anasema upinzani si wa kupuuzwa?
 
Hayati Mwalimu Nyerere aliyoyasema 1995, watanzania wengi wa kawaida hawakumuelewa, sasa nadhani wanayapata

Hapo zamani za kale mnamo mwaka 1995 niliamini kua huyu mtanzania ana uwezo mkubwa wa kuleta mabadiliko nchini.

Nililaani sana kitendo cha mwalimu kuliengua jina lake katika kinyang'anyiro cha kuelekea kushika hatamu.

Ni takribani miaka 18 imepita ndipo nimeanza kujua maana ya mwalimu kwa ule mwaka 1995.

Sasa nimeamini hapa duniani tuna chui waliojivika ngozi ya kondoo, pia, majuto ni mjukuu.
 
Hizo ni kelele za mfa maji au kelele za mlango hazimzuii mwenye nyumba kuingia,yeye siyo nguvu ya umma endapo wenye nchi yao wataamua hakuna wa kuwazuia,tuseme hata hiyo katiba mpya ni danganya toto?.kwa kuwa anatushitua sasa lazima tuingize kifungu katika katiba kuzuia mirengo na taswira za marais wababe kutuingiza katika vita kwa kwa ushabiki wa kisiasa,sisi tunataka uongozi bora na maendeleo hata kama yataletwa na SAU,siyo kila siku kukikimbia kivuli cha CDM111111111,na kutoa kauli zisizo na mashiko.Mhe. tunakueleza hayo ni maoni yako siyo ya umma na hatutahitaji utuchagulie chama hiyo 2015.
 
Aliyesema kwamba kigoma hawataki midundiko niyule mliyemnunua akapenda atumiwe kimawazo bado mwili Dk kabourou ambavyo bila kuwa viroba hafanyi mkutano eti nafsi inamsuta na huyohuyo ndie anayeimaliza ccm kwamambo mengi nakutupa siri nyingi
 
Kauli hii imetolewa na JK mjini Kigoma wakati wa sherehe za miaka 36 ya CCM....

"Nitahakikisha nina kabidhi nchi kwa mgombea wa CCM na si vinginevyo"!

KAMA RAIS WA NCHI, SALAAM HIZI MAANA YAKE NINI?!!

Hakika inawezekana,naamini Dr John Pombe Magufuli ata shinda kwa zaidi ya asilimia 70
 
huyu kilaza nadhani anaanza kutengeneza mazingira ya vurugu mwaka 2015 ili ije kuonekana wapinzani hawafai...... HATUKUBALI TENA UPUMBAVU..... R.I.P CCM NA JK !!!
 
Hata DANIEL arap KIPTROTOICH MOI alisema hayohayo 2002......the rest is as they say history
 
Back
Top Bottom