Chadema sio slaa tu,naona ww unamhanya slaa tu wapo vichwa kibao,safari hii hata mkichakachua formula itagoma maana kura zitakuwa nyingi za wapinza na tukikamata mtu na masanduku tunamaliza mchezo wenyewe badala ya polisi.
Hivi bwana swai una ndoto za chadema kushinda urais?? Kuwa mkweli huwezi kutegemea ukoo mmoja usambae nchi nzima na kupewa nchi. Kighoma wameshasema hawachezi tena midundiko ya wapinzani wanataka uongozi si kupewa viroba orijino kurushia watu mawe
Manake inamaanisha hajali nchi ikiingia kwenye machafuko ili mradi ccm iendelee kuwa madarakani. Ajiandae pia kwenda the Hague.Kauli hii imetolewa na JK mjini Kigoma wakati wa sherehe za miaka 36 ya CCM....
"Nitahakikisha nina kabidhi nchi kwa mgombea wa CCM na si vinginevyo"!
KAMA RAIS WA NCHI, SALAAM HIZI MAANA YAKE NINI?!!
Huyu naye ni rais! Huyu ni mzugaji tu.Hakupaswa kutamka maneno hayo hata kama alikua anawaadress wana CCM wenzake. Neno lolote linalotoka kinyani mwa Rais wa nchi linabeba uzito wa aina yake. Awaache akina Kinana na Nape watamke hayo!