Nitaka nianze mchakato wa talaka!

Ni kweli,ninachokiona hapa kama maamuzi ya busara yasipotumika mwanaume kuna uwezekano wa kupoteza dira ya maisha ingawa alitumia nguvu nyingi kujipanga.Ata kama wataachana,mali zibaki kuwa ni za watoto.Pia mwanaume asilazimishe talaka kwa sababu akilazimisha mambo ya kugawana mali yataibuka,bali atumie technic ya kumuacha kwa vitendo mfano kutokula chakula cha mkewe,kutokushiriki tendo n.k huku akiwa na bi mdogo kwa nje kwa sababu s.ex ni hitaji muhimu kwa umri wake
 
anaekushauri anapaswa kujua nn chanzo, maana unakuta mke nae anaitaka ndoa, so inahitaji kukaa pamoja na nyie kuwashauri na kuwasikia talaka sio solution
 
Wazee walikuwa akiona mke amekuwa mjeuri au haeleweki anahama nyumba na kusogeza kifaa kingine kwa pembeni.
Anaweza asirudi Tena au akarudi baadaye huyo mwanamke akijirekebisha.
Siku hizi wanaume tunajifanya tunavionea Sana vyeti vya ndoa na wanawake.
Huwezi kuishi na mtu mjeuri ukitegemea wewe utadumu. Na Kama ana watoto yeye hawezi kukufikiria Tena wewe.
Hata chakula anaweza kuwa anakuwekea sababu anapikia watoto hivyo hana namna anakuwekea tu.
Vinginevyo angekuambia uingie jikoni tu.
Ndoa kisiwe kigezo za kufanya uishi maisha ya shida mwanaume mwenzangu.
Wala hata watoto wasiwe ni sababu hiyo.
Yawezekana unaumia kuwafikiria watoto kumbe hata sio wako mwenzako anakucheki tu kwenye bomba unavyomsaidia mwanaume mwenzio kulea.
Kama watoto wako watakutafuta tu kokote kule uliko akili zao zikikaa sawa.!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna sababu nyingine za ugomvi huwezi mwanaume kujishusha maana ni hatari kwa maisha yako mpk ujue mwenzio Mungu amemkomboa sio kujishusha shusha tu utakufa mapema

Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sahihi kaka, tuwapendeni wake zetu lakini sio kuwaabudu. Kuna mambo mengine mwanaume inabidi asimame kama mwanaume. Eti kakosea yeye halafu uombe msamaha wewe. Mbaya saana yaani.

Ndicho kinachonitesa hata mimi, napaona nyumbani kama jahanamu..! Sema niko vibaya tu kiuchumi, nikija pata hela najenga nyumba kwa siri najiondokea zangu. Watoto ntakuwa nawasaidia kiaina wakikua najua wataja nitafuta tu.

Wanawake ni mashetani.! Ndio walioifanya dunia iwe hivi ilivyo kupitia dada yao Eva/Hawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo maana mi sitaki kuoa mpaka nikamilishe ujenzi na usafiri wangu kabisa...wife akija basi aje na begi lake tu,,,,mkianza kutafuta wote from the scratch wanakuaga wakorofi kama wamekula pilipili kichaa,,,ntakae muoa kazi yake ni kunizalia watoto tu...sitaki habari za kusaka pesa maana haaaminiki hao...jinga kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanaume akifikia kuikimbia nyumba mara nyingi mke amekuwa mzinzi na kibri kubwa kwa kumdharau mume kwa sababu ya dereva mpya wa huko nje. ....bahati mbaya wanaume wengi huwa hawafunguki kuelezea uzinzi wa wake zao anaweka kama ni kiburi au ujeuri tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona hujasema chanzo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maisha ni zaidi ya Mali. Shida tunaangalia watoto ndo maana kichwa kinaumia. Tukigawana watoto hawataweza kusoma shule za ada hiyo maana majengo ndo yanawasomesha.

Sent using Jamii Forums mobile app
daah hapa kweli inahitajika busara kubwa..Muombe Mwenyezi Mungu akusaidie katika hili Maana ugomvi wa wazazi unafanya watoto kuwa wanatanga tanga mwishowe wakakosa haki za msingi kutoka kwa wazazi!! Hekima inahitajika katika hili
 
Hizi show off...not once do you think of them kids!

You two were just not ready for marriage..sadly!
 
Jibu rahisi,mali za watoto,watoto ni wababa.Ili kulinda mali mwanaume asianzishe talaka,ni bora mke aanzishe mme apinge ili kulinda jasho lake.
yes hapo wakienda mahakamani au kuwaona wanasheria Akisema Mali ni za watoto!! Amemaliza kila kitu
 
Nimewashuhudia wengi...hawasemi ukweli kuwa mke amekuwa mzinzi badala yake anatunga uongo eti kiburi or jeuri...sasa ukificha ukweli na sisi wachangiaji tutakujibu kulingana na mada yako fix

Mtu sema ukweli bana...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijakuelewa mzee umeshamuachia vitu vyote then unataka kurudi tena kulianzisha baada ya kuona anadunda tu humtishi kwa lolote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Talaka nayo ina "process"?

Uislam raha sana.

Mnoooo.... eti process? Unamchapa talaka zake tatu (za kisheria siyo kwa pamoja) anasepa na hakuna sheria ya kugawana mali isipokuwa ukipenda waweza kumpa kiasi akafanyie maisha. Ebboh!
 
Anafanya kazi Bank yupo sana mpka anapokaa nijirani na - - - wangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usiende mahakamani mzee wang hiyo ni fedhea kubwa sana kama mwanaume mpige figisu atakimbia mwenyewe,usimsogelee atakuwekea polonium,kama hati za nyumba kuna jina lake imekul kwako wafwaaaaaaaaaaaaaa!!!!
 
Pole sana mzee kwa mtihani, tafuta hata wazee mkae nao muyajenge unajua kuivunja ndoa sio muarobaini wa tatizo lenu but inaonekana distance factor imechangia wewe upo dar wife yupo shinyanga

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…