Nitaka nianze mchakato wa talaka!

Nitaka nianze mchakato wa talaka!

Shirikisha wazazi kwanza uone itakuaje baada ya kushirikisha wazazi na ukaona wameridhia suala la Talaka basi anza process za Talaka.
Process za Kutalikiana zinafanywa na Mahakama na lazima uwe na sababu kama ugonjwa, ugoni, ukatili na sababu zenye mashiko na ni lazima uanzie kwenye bodi ya usuluhishi wa ndoa kama vile Bakwata, Baraza la Kata au hata kwa wachungaji na wazee na kanisa ingawa viongozi wa kidini wa kikristo hawawez kukubali ombi la kupeana talaka kirahisi rahisi (kwa kadri ya imani yao kuhusu ndoa)
Na jinsi ulivyosimulia kuwa mkeo anapenda mali ufunguzi wa kesi ya Talaka uendane na mgawanyo wa Mali. Usisahau Matunzo ya Watoto kiufupi mambo ni mengi.
Pia kumbuka mna watoto, malezi yao itakuwaje? Kutengana ni kuzuri lakn angalieni Maslahi ya watoto kama mlikwazana vitu vinavyoweza kusameheka msameheane maisha yaendeleee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha upuuzi kama watu wameshindwa kuishi pamoja ni vyema watengengane au unataka mpaka wachomane visu.

Sent using Jamii Forums mobile app
mbona povu hivyo...kuna wengine wakipatanishwa wanatengeneza makosa yao basi familia inakua salama..nadhani unajua madhara ya familia kuvunjika watoto ndio hupata tabu hata wakubwa nao sometimes wanapata shida..maslahi ya watoto kwanza..acha ubinafsi hawakuchinjana visu miaka yote ina mana wanaweza okoa ndoa yao.

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Kwa umri wako,kuacha mke,kupoteza mali,na watoto kutangatanga ni kukaribisha umasikini na mateso makubwa ya maisha yako huko mbeleni;ninachoweza kukushauri kama bado una nguvu ya ujenzi,tafuta mkoa uliotulia kama Arusha,jenga nyumba yako na usisikilize ushauri wa mkeo,baada ya hapo amia na kama bado unampenda mwenzi wako unaweza kumuita,akikataa unaweza kuwa na mchepuko unaojitambua huku maisha yakisogea.Huku ukiendelea kumiliki mali zako na watoto ukiendelea kuwasomesha.Na mwisho wa siku bi mkubwa atakufuata mwenyewe na kukuomba msamaha.Kukaa mazingira ya aina moja muda mrefu yanaweza kuharibu uhusiano.
Yani kukaa karibu iwe source ya matatizo? Nachojua long distance relationship ndio ngumu na huwa zinaharibiwa sana na cheating activities baina ya wenzi.

Ukiona unakaa karibu na mpenzi wako mnagombana ujue hamko compatible ama mmezidiwa na ugomvi wa mara kwa mara kitu kinachopeleka mmoja akatafte faraja nje. Na kama alieanza kufanya hivyo ni mwanamke jua uhusiano lazma uyumbe kama sio kufa kabisa. Mwanamke akipenda mtu wa nje ujue umekwisha maana wewe lazma anakuona ng'ombe tu.
 
Nahisi kuna mambo ambayo mleta mada hataki kuyaweka wazi na ni dhahiri kabisa ni mambo yenye Ukakasi wa kutosha. Ninachokifahamu kwa kiasi kikubwa katika mahusiano, Mwanaume anapoamua kuzungumza nje kuhusu mahusiano yake ndani basi ujue kuna jitihada kubwa sana keshaifanya ndani ila hakuna mafanikio.

Jambo lingine linaloleta Kiburi na Jeuri kwa mwanamke uliyenae kwenye mahusiano ni pale akianza Kuliwa Nje. Hapo hakuna Rangi utaacha kuiona kwake.
 
Wanahitaji busara tu.

Utapata taarifa anacheat ila yeye ataleta habari nyingine hadi unajiuliza huyu binadamu ana akili au vipi!.....busara, busara,busara.
 
Mkuu kama ni suala la mkeo kugongwa nje aisee hilo ni zero torelance (halivumiliki) haijalishi ulioa kanisani or whatever au mna watoto au whatever hapo ni TALAKA fasta. (Kama hutojali nikupe soft copy ya talaka ucheki sample mkuu)
 
Usimuache kwa Talaka! Komaa naye hivyohivyo ili yeye mroho wa mali ndo alianzishe mahakamani. Akifungua yeye madai atapata mali kidogo kulinganisha na wewe. Atakuwa yeye nfo anakuacha wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
Broo unajua thamani ya kuishi huru AMANI na furaha hakuna ndoa nguma kwa mtu anayeishi nawe sababu ya kupata kitu na si upendo kati yenu saivi wanamali walizozitafuta pamoja mke hajali kuachana nawe unaisi kipi bora kugwana Mali au kumuachie azitapanye badaye uje kujuta bora ata wabadilishe Mali kwa kuwamilikisha watoto ila iviivi zitapoteza zote badaye aanze kujuta upya na ubaya wa watoto wengi wanabakigi upande wa mama yako badaye watakuja kukulaumu ata kukutunza hawatakutunza

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom