Nitaka nianze mchakato wa talaka!

Nitaka nianze mchakato wa talaka!

Magoya2000

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2017
Posts
641
Reaction score
1,265
Habari wana jf.

Napenda kuwaomba ushauri katika suala langu linalonisibu. Nimeishi kwenye ndoa miaka 13 Mungu akatujalia mafanikio makubwa kiasi tuna uwezo wa kusomesha watoto ada ya 4mil plus.

Tatizo tuna ugomvi mkubwa na wife, baada ya ugomvi interest yake ikawa kwenye mali tulizochuma.

Nikaamua kumuachia mali zote nika move on na kuanza maisha. Ugomvi umeanza tokea April 2018 nimekaa kimya nikiamini anaweza kuregret tukafanya maisha. Nimeona yupo kimya akiamini kama maisha kayaweza.

Nataka nianze process za talaka. Je, unanishauri vipi? Spiritual advises pia nazikaribisha. Bado miezi 2 tutimize mwaka wa kutengana. Tuna nyumba 4 gari moja Kluger, yeye yupo Maganzo shinyanga mimi nipo Dar.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wana jf. Napenda kuwaomba ushauri katika suala langu linalonisibu. Nimeishi kwenye ndoa miaka 13 Mungu akatujalia mafanikio makubwa kiasi tuna uwezo wa kusomesha watoto ada ya 4mil plus. Tatizo tuna ugomvi mkubwa na wife, baada ya ugomvi interest yake ikawa kwenye mali tulizochuma. Nikaamua kumuachia mali zote nika move on na kuanza maisha. Ugomvi umeanza tokea April 2018 nimekaa kimya nikiamini anaweza kuregret tukafanya maisha. Nimeona yupo kimya akiamini kama maisha kayaweza. Nataka nianze process za talaka. Je unanishauri vipi? Spiritual advises pia nazikaribisha. Bado miezi 2 tutimize mwaka wa kutengana. Tuna nyumba 4 gari moja Kluger, yeye yupo Maganzo shinyanga mimi nipo Dar.

Sent using Jamii Forums mobile app
Gari uza gawaneni nyumba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mmmh ndoa n.a. iheshimiwe n.a. watu wote.. hata wana ndoa wenyewe.tafuteni mshauri mtapike nyongo zote.... muanze upya it is possible

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maisha ni zaidi ya Mali. Shida tunaangalia watoto ndo maana kichwa kinaumia. Tukigawana watoto hawataweza kusoma shule za ada hiyo maana majengo ndo yanawasomesha.
Mkeo anaamini hatasumbuka katika maiaha kwakua mali mkigawana atapata fungu lake life still goes on,ombea afuje mali zote mlizogawana atakufuata popote mlipo aombe samahani mrudiane.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wana jf.

Napenda kuwaomba ushauri katika suala langu linalonisibu. Nimeishi kwenye ndoa miaka 13 Mungu akatujalia mafanikio makubwa kiasi tuna uwezo wa kusomesha watoto ada ya 4mil plus.

Tatizo tuna ugomvi mkubwa na wife, baada ya ugomvi interest yake ikawa kwenye mali tulizochuma.

Nikaamua kumuachia mali zote nika move on na kuanza maisha. Ugomvi umeanza tokea April 2018 nimekaa kimya nikiamini anaweza kuregret tukafanya maisha. Nimeona yupo kimya akiamini kama maisha kayaweza.

Nataka nianze process za talaka. Je, unanishauri vipi? Spiritual advises pia nazikaribisha. Bado miezi 2 tutimize mwaka wa kutengana. Tuna nyumba 4 gari moja Kluger, yeye yupo Maganzo shinyanga mimi nipo Dar.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kabla ya ushauri,kwa nini kuna umbali mkubwa hivyo,yeye Maganzo wewe Dar?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom