Zinduna
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 2,378
- 3,379
Kwa mujibu wa maandiko ya Dini zetu TAKATIFU, zimeelezea kuhusu mwanzo wetu sisi wanadamu, kwamba, Mungu alimuumba Adam kisha akamlaza usingizi akamtoa ubavu wake mmoja na kumuumba Eva na kumfanya mkewe.
Sasa mie nitajuaje nimetoka kwenye ubavu wa nani? Maana wanaoniambia eti nimetokana na ubavu wao ni wengi
Just curious!!!!!!!!!
Sasa mie nitajuaje nimetoka kwenye ubavu wa nani? Maana wanaoniambia eti nimetokana na ubavu wao ni wengi
Just curious!!!!!!!!!