Kwaio itakua ni 1NZ hio sasa mkuu fanya mchakato huo wa kuangalia maji yanapotelea wapi kama yanapungua sanaNi IST CC1500 Mkuu.
Nikiangalia Chini hakuna Mahala Panavuja.Kwaio itakua ni 1NZ hio sasa mkuu fanya mchakato huo wa kuangalia maji yanapotelea wapi kama yanapungua sana
Kwasababu ndani ya engine hua kuna joto mkuu sio kwamba yanaweza kua yanapotelea sehemu inayoonekana bali inawexa kua humo humo ndani ya engine kuna leakage ndo inafanya maji ya potee..mfano sasa hivi mimi nilikua napoteza maji kwenye cover la radiator maana lilipasuka kimtindo ila baada ya ku replace toka niweke coolant tangu mwezi wa 5 coolant ipo kwwnye level ile ileNikiangalia Chini hakuna Mahala Panavuja.
Zaidi zaidi, nikijaza mpaka Juu, na nikawa nakanyaga Mafuta ndiyo yatatoka Kiasi tu kupitia Juu ya Mfuniko, muda kidogo yanaacha.
Nimekupata Mkuu.Kwasababu ndani ya engine hua kuna joto mkuu sio kwamba yanaweza kua yanapotelea sehemu inayoonekana bali inawexa kua humo humo ndani ya engine kuna leakage ndo inafanya maji ya potee..mfano sasa hivi mimi nilikua napoteza maji kwenye cover la radiator maana lilipasuka kimtindo ila baada ya ku replace toka niweke coolant tangu mwezi wa 5 coolant ipo kwwnye level ile ile
Ubaya wa IST haina temperature gauge ile inayoonesha kwamba joto hapa sasa hivi mi kiasi gani kwaio kwaio kwa IST unapowasha kinawaka kile kitaa cha blue cha temperature hivyo hio hadi iwe red ndo utajua kwamba kuna tatizo ila magari mengine mshale ukicheza tuu kupanda juu ya nusu temperature unaweza kuonaNimekupata Mkuu.
Hapa hapa Umeibua Jambo lingine. Naomba kujua
Uhusiano wa Coolant na na Maji ya Kwenye Radiator Upoje?
Maana Coolant ipo kwenye Gari vizuri tu, shida ni Maji ya kawaida yale ndiyo yanapotea.
Kingine kuna wadau hapo juu akiwemo JituMirabaMinne
Aliniambia kuwa gari ikichemsha huwa kuna signal yake kwenye Dashboard, ila sioni Signal yeyote mpaka hapa. Tafsiri yake ni kuwa haichemshi. Kwa maana hiyo concern yangu ndiyo nilitaka kujua kuwa haya Mambo inakuwaje Maji yanapungua na je mwisho wake utakuwaje?
Ahsnate saana kwa Ufafanuzi naanza kuelewa elewa.
Ahaaaa, Nimekuelewa Mkuu. Daah, Bonge Shule.Ubaya wa IST haina temperature gauge ile inayoonesha kwamba joto hapa sasa hivi mi kiasi gani kwaio kwaio kwa IST unapowasha kinawaka kile kitaa cha blue cha temperature hivyo hio hadi iwe red ndo utajua kwamba kuna tatizo ila magari mengine mshale ukicheza tuu kupanda juu ya nusu temperature unaweza kuona
Kikiwa chukundu hapo unakua umeshaungua vitu kwenye engine maana temperature inakua imeshakua juu kabisaAhaaaa, Nimekuelewa Mkuu. Daah, Bonge Shule.
Nilikuwa najiuliza hiki Kitaa cha Blue Kazi yake nini?
Kuna muda kinawakaa, halafu baada ya Muda Kinapotea. Aisee, Shukrani saana. Ila kuwa Chekundu Sijawahi Kishuhudia.
Mkuu nimefanikiwa Kutatua Tatizo, kumbe Shida ilikuwa Mfuniko wa Radiatora baada ya Kuweka mwingine sasa hivi Fureshi kabisa.Kikiwa chukundu hapo unakua umeshaungua vitu kwenye engine maana temperature inakua imeshakua juu kabisa