Pua ya zege
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 1,639
- 1,741
Hivi amewahi kumpigia simu waziri nape na ameshaenda mkoa wa morogoro!?Naapa nitajiunga CCM Makonda akiwa summon wanajeshi kama anavyowa summon Mawaziri na kuwatishia kuwachapa makofi. Nitampa kura ya Urais