Nitajie sifa 5 za msichana kuwa mke

Nitajie sifa 5 za msichana kuwa mke

Uliyeleta mada ulipaswa uanze wewe kutoa vigezo vyako. Kila mtu ana vigezo vyake na mara nyingi hutofautiana. Kigezo general ni mapenzi ya dhati kwa mwenzio.
 
Uliyeleta mada ulipaswa uanze wewe kutoa vigezo vyako. Kila mtu ana vigezo vyake na mara nyingi hutofautiana. Kigezo general ni mapenzi ya dhati kwa mwenzio.

we chambua vilivyojitokeza mara nyingi....
 
Yule ambaye unaweza kumsamehe hata afanye kosa kubwa namna gani. If your looking for fault hakuna anayefaa kuolewa.
 
1.mvumilivu
2.mwenye upendo
3.mwenye mapenzi kwangu
4.asie na tamaa
5.mwenye kupendeza kwangu
 
1. Awe na hela 2. Awe na mipesa 3. Awe na mkwanja wa kuzidi 4. Awe na mapene 5. Awe na mavumba yakucheda vingine vyoooote kila mwanamke anavyo
 
naamini kila mwanaume ana vigezo na sifa anazotaka kwa mwanamke, kwangu mm naamini mwanamke ambayeana hofu na Mungu lazima atampenda na kumjali mumewe, swala la sura na maumbile ni majaliwa yake muumba........zaidi awe na upeo wa kufikiri kuhusu maisha, elimu na atambue wajibu wake.
 
Awe kama ifuatavyo;

1. Mcha Mungu (mwenye kumuogopa na kumtukuza Mungu,upendo, uaminifu, kujali mimi na watoto na yeye mwenyewe)
2. Hekima (kunishauri katika kutunza familia na yeye mwenyewe)
3. Msafi (mwili, nyumba)
4. Freaky (my slut in bed and she has to know how to give good head - very important)
5. Educated, calm and collected (mcharuko no!)
 
Mke wa jambazi

1.Awe msiri
2.Awe jasiri
3.Awe mtiifu kwa mume kama wa jeshi
4.Awe mrembo
5.Ajiamini

Mke wa mcha Mungu
1.Awe mwaminifu kwa Mungu
2.Awe mtiifu kwa mume
3.Mwenye bidii na kujituma
4.Awe na hekima
5.Amvutie mume kwa sura ama umbo

Mke wa mtu wa kawaida

1.Awe mzuri amvutie kila mtu(marafiki nk)
2.Asiwe malaya
3.Awe mdogo kuliko mume
4.Awe na lugha laini kwa mume
5.Asiwe na marafiki(mashoga)mashakumpe

Mke anayenifaa mimi
1.Awe mcha Mungu
2.Awe mtiifu kwangu
3.Awe mkarimu na mchangamfu
4.Asiwe mshirikina
5.Awe sexy

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
kwani kilichokufanya umchague awe girlfriend wako out of all ladies unaowafahamu ni nini? ni kweli kuwa girlfriend na mke ni tofauti, but kama kweli mnadumu na mtu miaka miwili au zaidi maana yake kuna tabia zinaendana ndio sababu mmeweza kuwa pamoja, to be honesty, kumbuka she is a human being, umeshamtumia miaka miwili halafu unasema hafai kuwa mke, unataka nani aje amuoe, kesho kesho kutwa ukimuacha akikutana na mtu mwingine kama wewe nae akamuacha tayari anakuwa desperate halafu mnakuja kuwaandika tena hapa hapa jf kuwa wamevuka umri wa kuolewa, mara madungayembe, thats not fair, mi naamini kila mwanamke anafaa kuwa mke as long as anajua kubehave na umeshaona kuna hali fulani ya kuvumiliana iliyowafanya mdumu kwa huo muda wa girlfriend/boyfriend!!!
ni mawazo tu, msinipige mawe........................!!!!
 
Back
Top Bottom