Nitajiandaa na siku moja muda wangu utafika

Mar 3, 2018
75
799
"I will prepare ,and one Day my time will come" Abraham Lincoln.

"Nitajiandaa na siku moja muda wangu utafika"

Njia nzuri ya kuhakikisha ndoto yako inatimia ni kuendelea kujiandaa,ili itakapokuja ikukute uko tayari.

"USIACHE KUJIANDAA"
Wasalaam...
20200704_152118.jpg
 
"I will prepare ,and one Day my time will come" Abraham Lincoln.

"Nitajiandaa na siku moja muda wangu utafika"

Njia nzuri ya kuhakikisha ndoto yako inatimia ni kuendelea kujiandaa,ili itakapokuja ikukute uko tayari.

"USIACHE KUJIANDAA"
Wasalaam...View attachment 1497864
Uache ushamba kijana,tulikuamini unaacha udiwani unaenda kupewa kazi ya kuwa mwenyekiti wa kijiji? Ushamba wa ajabu huu
 
Siku yako na muda wako sahihi na mahala sahihi kutoka kwa Mungu ulishafika ila shetan ameshaupora, umechagua njia ya shetan, ukaiacha Haki pole sana
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom