Msitari wa pambizo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 2,879
- 4,881
We endelea kuwa mtendaji wa kata. Hata hivyo wakichoka kukubeba watakutupa na utarudi kufundisha
Shida kubwa ni kuwa anaogopa kueleza ukweli lakini binafsi namuonea huruma sana na hasa baada ya kukutana na wengine kama yeye na kuongea nao.SI JAMBO JEPESI hasa kwa kijana mdogo.Huyu mwanzoni alikuwa anatueleza jinsi baba yake alivyoitwa kwa DSO na dhahama nyingine nyingi lakini hatujui alikumbwa na nini mpaka akageuka wenziwe.Kuna mambo mawili makubwa ambayo naaamini yalimkuta,VITISHO na AHADI KUBWA.Kwamba ugombee Ubunge? thubutu yako,wewe ni zilipendwa na malipo ya usaliti na unafiki ni hapa hapa Duniani.