SSH2025_2030
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 9,661
- 9,757
Kufuatia wito wa viongozi wa Chama. Naahidi kuchangia CCM pesa kwa ajili ya Kampeni za uchaguzi Mkuu.
NB: Nashauri UCHANGIAJI Pesa ya Kampeni CCM usiwe hiari. Kampuni za simu zitumike kukusanya pesa katika kila 1000/- ikatwe 300 ya kwenda kwenye uchangiaji huu. Jambo hili ni jema kwa maendeleo yetu wote.
Lucas Mwashambwa
Tlaatlaah
ChoiceVariable
Pascal Mayalla
View: https://www.youtube.com/watch?v=pnuuynE6jps
NB: Nashauri UCHANGIAJI Pesa ya Kampeni CCM usiwe hiari. Kampuni za simu zitumike kukusanya pesa katika kila 1000/- ikatwe 300 ya kwenda kwenye uchangiaji huu. Jambo hili ni jema kwa maendeleo yetu wote.
Lucas Mwashambwa
Tlaatlaah
ChoiceVariable
Pascal Mayalla
View: https://www.youtube.com/watch?v=pnuuynE6jps