Uwezo Tunao
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 6,942
- 1,199
YEYOTE ANAYETEKENYWA NA KUSUMBULIWA SAAAANAA MOYONI MWAKE NA NDOTO ZA KUTAMANI KUWA MPANGAJI WA JUMBA LA TAIFA PALE MAGOGONI KWANZA AKAJIPEMBUE MWENYEWE KWA MISINGI HII
Kijana uko makini na unajua sana pia KUJENGA HOJA zenye mashiko na zenye kuweza kupenyeza katika akili za SERIOUS persons of this country.
Before I could objectively comment on your good aand constitutionally justified intents of providing leadership to our beloved nation, let me make a leap into any nearby forest (kuingia msituni) and do some basic overview of who you are and even seek to consult historical background so that the shades in there could tell me exactly you may have been standing for in life and get assurance whether if given an opportunity you can possibly remain steadfast without suddenly migrating into some people's pockets like we presently see of some 'politically fallen renowned soldiers' of our times around.
Mpaka sasa hivi labda tukupe benchi ukasubirie hapo sebuleni kwenye jumba hili la 'DEMOKRASIA YA USHINDANI WA KISIASA' huku tukijaribu kutafuta taarifa juu yako kama vile:
(1) Uwezo wa kufanya kazi na wenzio kama mwana-timu,
(2) Msimmo Usioyumba katika mambo ya msingi,
(3) Uwezo wa kujikinga na kimbunga cha UFISADI,
(4) Kwa namna gani umeweza kuwa SAUTI KAMILI kwa sehemu ya jamii yetu wasiokua na nafasi wala pa kusemea kero moyoni,
(5) Kutizama walau Ripoti ya vipindi vitatu mfululizo ambazo mtendaji mkuu wa chama chako (kwa hapa ni maoni ya Dr Slaa wa CHADEMA) juu ya UTENDAJI KAZI wako kwa jamii,
(6) Tutatafuta pia kuelewa kwamba wewe ni aina ya kiongozi unayefuata utaratibu wa USHIRIKISHWAJI WANANCHI katika shughuli zinazowahusu au ni yule mwenye kutoka na 'MAAMUZI YAKE BINAFSI CHUMBANI' na kisha kutafuta kutandaza usahihi wake kwa umma wapende wasipende,
(7) Mpango mahususi ulionao na uchambuzi wa wazi kabisa juu ya jinsi gani utakavyoweza kufanya ki-mkakati kuhakikisha ya kwamba hayo maono yako kweli unafanikiwa kuyageuza kuwa MATUNDA MARIDHAWA (na wala si matunda SUMU) kwa taifa letu.
(8) Jinsi gani unavyochukia UDINI na ubaguzi mwingine wowote ule na jinsi gani utakavyohakikisha kwamba kovu hilo linapona kimoja,
(9) Kusudio lako likoje katika KULINDA RAIA NA MALI ZAO, WATU WENYE MAWAZO HURU katika masuala mbalimbali kuhusu taifa letu kutokuchinjwa kila leo kama hivi sasa na jeshi lao wenyewe la polisi kwa maslahi ya wachache.
(10) .... na mengineo mengi tu.
NB: Mwisho, naomba nitoe angalizo kali hapa kwamba kwa uchaguzi kwa mara ya kwanza WaTanzania KAMWE HATUTOTAFUTA KUCHAGUA:
(i) Sura za watu,
(ii) hatutomchagua yeyote kwa misingi ya MWENZETU,
(iii) kamwe hatutomchagua mtu kwa UMAARUFU WA VYEO ALIVYOWAHI KUVISHIKA huko nyuma,
(iv) Kamwe HATUTODANGANYIKA KUCHAGUA mtu eti tu kwa misingi ya UKUBWA AU UCHANGA WA UMRI wake tu,
Kijana uko makini na unajua sana pia KUJENGA HOJA zenye mashiko na zenye kuweza kupenyeza katika akili za SERIOUS persons of this country.
Before I could objectively comment on your good aand constitutionally justified intents of providing leadership to our beloved nation, let me make a leap into any nearby forest (kuingia msituni) and do some basic overview of who you are and even seek to consult historical background so that the shades in there could tell me exactly you may have been standing for in life and get assurance whether if given an opportunity you can possibly remain steadfast without suddenly migrating into some people's pockets like we presently see of some 'politically fallen renowned soldiers' of our times around.
Mpaka sasa hivi labda tukupe benchi ukasubirie hapo sebuleni kwenye jumba hili la 'DEMOKRASIA YA USHINDANI WA KISIASA' huku tukijaribu kutafuta taarifa juu yako kama vile:
(1) Uwezo wa kufanya kazi na wenzio kama mwana-timu,
(2) Msimmo Usioyumba katika mambo ya msingi,
(3) Uwezo wa kujikinga na kimbunga cha UFISADI,
(4) Kwa namna gani umeweza kuwa SAUTI KAMILI kwa sehemu ya jamii yetu wasiokua na nafasi wala pa kusemea kero moyoni,
(5) Kutizama walau Ripoti ya vipindi vitatu mfululizo ambazo mtendaji mkuu wa chama chako (kwa hapa ni maoni ya Dr Slaa wa CHADEMA) juu ya UTENDAJI KAZI wako kwa jamii,
(6) Tutatafuta pia kuelewa kwamba wewe ni aina ya kiongozi unayefuata utaratibu wa USHIRIKISHWAJI WANANCHI katika shughuli zinazowahusu au ni yule mwenye kutoka na 'MAAMUZI YAKE BINAFSI CHUMBANI' na kisha kutafuta kutandaza usahihi wake kwa umma wapende wasipende,
(7) Mpango mahususi ulionao na uchambuzi wa wazi kabisa juu ya jinsi gani utakavyoweza kufanya ki-mkakati kuhakikisha ya kwamba hayo maono yako kweli unafanikiwa kuyageuza kuwa MATUNDA MARIDHAWA (na wala si matunda SUMU) kwa taifa letu.
(8) Jinsi gani unavyochukia UDINI na ubaguzi mwingine wowote ule na jinsi gani utakavyohakikisha kwamba kovu hilo linapona kimoja,
(9) Kusudio lako likoje katika KULINDA RAIA NA MALI ZAO, WATU WENYE MAWAZO HURU katika masuala mbalimbali kuhusu taifa letu kutokuchinjwa kila leo kama hivi sasa na jeshi lao wenyewe la polisi kwa maslahi ya wachache.
(10) .... na mengineo mengi tu.
NB: Mwisho, naomba nitoe angalizo kali hapa kwamba kwa uchaguzi kwa mara ya kwanza WaTanzania KAMWE HATUTOTAFUTA KUCHAGUA:
(i) Sura za watu,
(ii) hatutomchagua yeyote kwa misingi ya MWENZETU,
(iii) kamwe hatutomchagua mtu kwa UMAARUFU WA VYEO ALIVYOWAHI KUVISHIKA huko nyuma,
(iv) Kamwe HATUTODANGANYIKA KUCHAGUA mtu eti tu kwa misingi ya UKUBWA AU UCHANGA WA UMRI wake tu,
NITAGOMBEA URAIS
Watanzania wanahitaji MABADILIKO na MABADILIKO haya hayawezi kuja bila Watanzania KUAMUA. Na bila Mtanzania mmoja kujitoa kuongoza MABADILIKO haya, na mimi ni mmoja wao. Nimedhamiria, ninaweza kuwa raisi wa Tanzania leo, kesho au keshokutwa. Watanzania wanahitaji kujua KISANDU Deogratius ni nani?Anafanya nini na ana malengo gani kwa mustakabali wa Taifa la Tanzania.
Mwalimu Nyerere alipewa mamlaka makubwa ya kuongoza nchi yetu akiwa hajawahi kushika madaraka makubwa serikalini kama Uwaziri (kabla ya uhuru), na wala hajawahi kuwa Mbunge lakini aliweza kuwaunganisha watanzania na kupata uhuru wa kisiasa. Sasa ni wakati wa kufanya mageuzi ya kiuchumi. Kazi hii lazima iongozwe na Mtanzania Mmoja na mimi ni mmoja wao ambaye sijawahi kuwa Mbunge wala Waziri zaidi ya uongozi ndani ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
Tulidhani Marais ambao wameliongoza Taifa letu wakiwa na uzoefu wa Ubunge, Uwaziri n.k. kabla ya kupata nafasi ya Urais wangeweza kuliongoza Taifa hili kwa ufanisi zaidi kushinda Mwalimu Nyerere lakini badala yake wameonyesha udhaifu mkubwa ambao unatupa tafsiri kwamba taifa hili halihitaji kiongozi wenye uzoefu mkubwa bali kiongozi mwenye maono, umakini, uadilifu na hofu ya Mungu.
Mwanasiasa yoyote mwenye kipaji na maono hawazi jana na leo, anawaza jana, leo, kesho, keshokutwa na mtondogoo n.k. Jambo la msingi ni kutazama ni kwa jinsi gani tunaweza kupata UKOMBOZI WA PILI WA TAIFA LETU.
NIMEDHAMIRIA, NINAWEZA, Nitagombea Urais
Deogratius KISANDU
Katibu Baraza la Vijana Chadema (BAVICHA)
Mkoa wa Tanga
3 Octoba 2012