Nitagombea Urais - Kisandu Deogratius

kwanini umesema aende chuo cha kiislam na sio cha kikristo??? una chuki na uislam wewe.

Nimeelekeza hivyo kwa sababu najua waislamu waliosoma vizuri Qur An, wengi wao ni waalimu katika vyuo vikuu, wanajua kuwa Ukristo na Uislam ni mitizamo ya Mungu yule yule kwa mila na desturi mbili tofauti. Lakini kimsingi imani ni katika Mungu yuleyule. Kumuelekeza kwenda kwenye Chuo cha Kikristo ni kuwa Crusador, na mimi si crusador. Yale atayoyapata kutoka kwa Muislam Msomi ndo hayo hayo atayoyapata kutoka kwa Msomi Mkristo, na hawa wawili hawagombani hata siku moja.

Karibu migogoro yote ya kidini kiini chake ni Upumbavu na Ujinga katika mambo ya Imani kwa Mola. Elimu inamweka mtu huru akaacha kutizama mambo kwa macho ya Uislamu ama Ukristo; badala yake atasiliza hoja kwa mtizamo wa maslahi makuu wa jamii kwa kuwa kwenye eneo la dini hapataonekana kuwa na tatizo. Na hili linakuwa kweli kwa wafuasi wa imani zote.
 
Jk kafanya URAIS kuwa URAHISI..
Hv mtu uwezi kuchangia maendeleo/mabadiliko ya nchi hadi uwe Rais

kaka katiba ya Tanzania ni kifalme sana imelundika madaraka mengi kwa Rais na kwa hiyo kiongozi wa ngazi za chini hawezi kua huru kufanya kazi yake ipasavyo iwapo boss wake hatotaka afanye hivyo. (angalia hawa akina Muhongo, Magufuli, Tibaijuka, CAG, spika wa bunge la 9 n.k ) hawakuweza na hawawezi kufika mbali kimaamuzi bila ya Rais. SO kila mtu kwa kutumia taswira hii anataka kua the top boss ili aleta mabadiliko.
 
Haya ni maandishi kutoka jimbo la Lushoto. Maandishi kutoka kwa MBELWA Germano.

Kuwa na fikra na mitazamo tofauti ndani ya chama si chanzo cha vurugu na migogoro hata kidogo. Lazima wana-CDM tujifunze kutafsiri maana halisi ya migogoro. Tusidhani kwamba tunaweza kuishi na kudumu nje ya demokrasia bila kuweka utaratibu wa kidemokrasia. Lazima tujifunze kupima afya ya fikra zetu.

Naomba nimpongeze Deo Kisandu, Katibu wa wilaya ya Lushoto-CDM na Katibu wa Bavicha Mkoa wa Tanga kwa kuonyesha ujasiri mkubwa wa kueleza hisia zake za ndani. Wana-CDM tusiwe waoga wa demokrasia. Binafsi naamini wakitokea Presidential Aspirant watano wana-CDM na watanzania kwa ujumla watapata nafasi na kupima uwezo wao wa kiuongozi.

Hii ni mbinu ya kisiasa na wala tusidhanini mbinu ya kuibomoa CDM. Tuko kwenye kipindi cha mpito (transitition period) ya makuzi ya kidemokrasia chini ya nguzo ya fikra huru na hili lazima lianzie ndani ya chama. Tusiogope hali hii itazoeleka tuu na kuonekana jambo la kawaida.

Katibu Mwenezi,
Jimbo la Lushoto.
 
Mzee Mtei Mkwe wako mbona wanamfuatilia sana na wewe ulikuwa unataka aingie ikulu ukiwa hai.Embu toa onyo jingine
 
muoga wa demokrasia ni wewe mamuruki,jitahidi siku moja utapata unachokitafuta.
 
Hivi hawa wanaojitangaza watagombea urais kupitia chadema hawajui kwamba hiyo nafasi ni mali binafsi ya slaa na mbowe?
 
Ache atumiwe kama used Toilet paper. CHADEMA ni wakati muafaka kufukuza hawa waganga njaa including Zitto,shibuda na rose kamili.
 
Endeleeni kutumiwa tu mapimbi watupu nyinyi.
Pimbi ni wewe usiyejua maana unaendeshwa na upepo Kama bendera si ajabu ukiambiwa nenda haja kubwa hadharani utaenda sababu kasema Fulani ndani ya CDM.
 
Pimbi ni wewe usiyejua maana unaendeshwa na upepo Kama bendera si ajabu ukiambiwa nenda haja kubwa hadharani utaenda sababu kasema Fulani ndani ya CDM.
Mpuuzi tu wewe, si wa kiwango changu tafuta wajinga wajinga wenzanko.
 
Kamati kuu ya CDM ukimya wenu ndiyo unaosababisha ushenzi huu wote.Mnaacha mpaka mambo yanakuwa worse kwa kila mtu kujifanya ana mapembe.Endapo kama wavurugaji chama wakifanikiwa basi damu ya wanamageuzi wote wa nchi hii itakuwa juu ya wajumbe wa Kamati Kuu CDM.
 
Haya ni maandishi kutoka jimbo la Lushoto. Maandishi kutoka kwa MBELWA Germano.

Kuwa na fikra na mitazamo tofauti ndani ya chama si chanzo cha vurugu na migogoro hata kidogo. Lazima wana-CDM tujifunze kutafsiri maana halisi ya migogoro. Tusidhani kwamba tunaweza kuishi na kudumu nje ya demokrasia bila kuweka utaratibu wa kidemokrasia. Lazima tujifunze kupima afya ya fikra zetu.

Naomba nimpongeze Deo Kisandu, Katibu wa wilaya ya Lushoto-CDM na Katibu wa Bavicha Mkoa wa Tanga kwa kuonyesha ujasiri mkubwa wa kueleza hisia zake za ndani. Wana-CDM tusiwe waoga wa demokrasia. Binafsi naamini wakitokea Presidential Aspirant watano wana-CDM na watanzania kwa ujumla watapata nafasi na kupima uwezo wao wa kiuongozi.

Hii ni mbinu ya kisiasa na wala tusidhanini mbinu ya kuibomoa CDM. Tuko kwenye kipindi cha mpito (transitition period) ya makuzi ya kidemokrasia chini ya nguzo ya fikra huru na hili lazima lianzie ndani ya chama. Tusiogope hali hii itazoeleka tuu na kuonekana jambo la kawaida.

Katibu Mwenezi,
Jimbo la Lushoto.
Hakuna mwoga ndani ya chama makini ila huu ni upuuzi wenu mnaouleta sasa hivi kwa ajili ya njaa zenu,endeleeni tu na usaliti wenu huku mkijifanya ni mambo ya demokrasia,sasa tuna kazi moja tu ya kutoa elimu ya uraia mnaibuka na ujinga wenu....hatutawavumilia ni lazima tuwaambie ukweli....mnatumiwa na maadui zetu.
 
Nime scann makusudi hicho kitabu cha anayetaka urais ili kujua historia yake na nimeki attach
 

Attachments

  • front.jpg
    front.jpg
    4.5 KB · Views: 94
  • back.jpg
    back.jpg
    42.1 KB · Views: 45
Back
Top Bottom