Nitagombea Urais - Kisandu Deogratius

Nitagombea Urais - Kisandu Deogratius

yani mmeshindwa kuona mkakati wa zitto hapa?hawa vijana ndani ya cdm wanataka kuwatoa watu kwenye harakati za m4c,hawa ni watu wa zitto without a doubt...cdm haifi kabla ya 2015 kamwambieni hivyo d.haifu aliyewatuma,..3 years to come unaanza kututangazia unataka urais..nyambaf,.yani kampeni za urais zimeanza?!!!!
 
Kweli urais umekuwa urahisi.
 
Nashauri katika mabadiliko haya ya katiba, iruhusu kila kijiwe kiwe na raisi wake.
 
NIMEDHAMIRIA, NINAWEZA, Nitagombea Urais

Deogratius KISANDU
Katibu Baraza la Vijana Chadema (BAVICHA)
Mkoa wa Tanga

UTAPAMBANA NA HUYU NAE KASEMA HIVYO HIVYO


NIMEDHAMIRIA, NINAWEZA, Nitagombea Urais

Zitto Zuberi KABWE
Naibu Katibu Mkuu Chadema na Mbunge Kigoma Kaskazini
 
sasa hivi kila anaye weza kuvuka barabara bila kuongozwa anadhani anaweza kuwa RAIS.Kweli nchi yetu imekuwa shamba la bibi.
 
Hivi hii dhana ya mtu akiongea anachofikiri, watu wanasema katumwa, inatokana na nini? kwani mtanzania hawezi kusema mpaka atumwe? Nasema tena NITAGOMBEA URAIS.
 
Anyway ,ni mara yangu ya kwanza kumsikia huyu mtu,lakini ni haki yake na hongera yake kwa courage aliyonayo,hata hivyo aonyeshe uwezo wake kwa kuijenga CHADEMA Tanga iwe na mvuto na ushawishi,aanze kupanda majukwaani na kunadi chama chake na sera ili azoee angalau ifikapo 2015 awe amejulikana zaidi na aweze kuchaguliwa kupeperusha bendera ya chama chake
 
GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOdddddddddddddddddddddddd!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!. Wake up.
 
Hivi hii dhana ya mtu akiongea anachofikiri, watu wanasema katumwa, inatokana na nini? kwani mtanzania hawezi kusema mpaka atumwe? Nasema tena NITAGOMBEA URAIS.

Kama mie nilichokisema kutokana na nukuu hii:

Mwalimu Nyerere ....... aliweza kuwaunganisha watanzania na kupata uhuru wa kisiasa. Sasa ni wakati wa kufanya mageuzi ya kiuchumi.

Sikumaanisha kuwa umetumwa bali wewe ni kapaza sauti chenye ufutio wa malengo nyuma ya mtuma sauti

Ni rahisi kuunganisha. Ebu angalia!

Wakuu,
Sekunde chache zilizopita nimemsikia zito kwenye exclusive interview na Millard Ayo wa Clouds FM akitamka yafuatayo ..."Wazee wetu walitusaidia kutupatia maendeleo ya kisiasa, sasa ni jukumu letu kuleta maendeleo ya kiuchumi. Ila naomba nisisitize, jukumu hili haliwezi kutekelezwa na mtu yeyote aliyezaliwa kabla ya uhuru..".

Nilidhani duniani kuna mapacha wa sura, kumbe kuna hata wa maneno!
 
Anyway ,ni mara yangu ya kwanza kumsikia huyu mtu,lakini ni haki yake na hongera yake kwa courage aliyonayo,hata hivyo aonyeshe uwezo wake kwa kuijenga CHADEMA Tanga iwe na mvuto na ushawishi,aanze kupanda majukwaani na kunadi chama chake na sera ili azoee angalau ifikapo 2015 awe amejulikana zaidi na aweze kuchaguliwa kupeperusha bendera ya chama chake

Mkuu wewe ndio mgeni kabisa, Kisandu alikuwa mgombea wa ubunge jimbo la lushoto 2010, Kisandu alikuwa mgombea nafasi ya Uenyekiti wa taifa wa BAVICHA2011, unaposema Tanga zungumzia kisandu,,,tafuta watu wa tanga wakueleze maana mimi namfahamu vizuri
 
We subiri Josephine apite hapa jamvini uone kitakachokukuta.
 
Una umri gani? Maana Bavicha wao umri wa Mwisho kuwa kundi Hilo ni miaka 35 , sasa wewe uko bado katibu Bavicha na unataka Urais , naomba kufahamishwa tafadhali.
 
Back
Top Bottom