Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,545
- 10,296
Tusipojenga hospital kama ile ya dodoma pana wimbi kubwa litaelekea kwa sangoma na manyaunyau.
Umewahi kupimwa akiri Deo?Mimi ni mzima kabisa wa afya. Niko fit kila idara kiafya.
Nimecheka Sana Kwa Ushauri Wakohii kitu iende jukwaa la vichekesho tafadhali...pia ninashauri lianzishwe jukwaa la walevi
Naunga mkono hoja yakohii kitu iende jukwaa la vichekesho tafadhali...pia ninashauri lianzishwe jukwaa la walevi
Mtu mmoka I'd kibaooMbulu usilutee mambo ya shilawadu kwenye mambo siriasi kama haya. Unataka kusema wewe mwalimu wako wa Kingereza hakukufundisha maana ya "Frent fod"? Deogratius Kisandu ndiye mwanasiasa bora Tanzania na lazima awe rais wetu. Kwani kuna nini cha ajabu kwenye Urais wa nchi hii asicho nacho yeye Kisandu!!??
First lady atakuwa nani?? maana umezaa kila kona ya tanzania..Naishi kwa kufuata Katiba ya Nchi na maono aliyonipa Mungu na sio kunishinikiza kwa maslahi ya watu Fulani.
Nilikwisha sema Lazima "Nitakuja kuwa Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania" na sio kuishia kwenye Uwaziri Mkuu kama maadui zangu walivyopanga.
Next President by Jesus Name
Deogratius N Kisandu
Huyu jamaa ni nani hapa Tanzania. Nimeona maandiko yake humu ndani mengi lakini pia inaonekana si mzima kichwani.
Umeisaidia katika nyanja zipi labda.Mimi ni Mwalimu hapa Tanzania na ni Mtanzania pekee ambaye NImeisaidia Tanzania na Afrika kwa ujumla.
ni ndoto za mchana... hata mimi nimewahi kuota ndoti mara nyingi niko kwenye baraza la mawaziri lakini sijawahi kua waziri hadi leo nimeshakua mzee. tofauti na kisandu mimi naota usiku.Naishi kwa kufuata Katiba ya Nchi na maono aliyonipa Mungu na sio kunishinikiza kwa maslahi ya watu Fulani.
Nilikwisha sema Lazima "Nitakuja kuwa Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania" na sio kuishia kwenye Uwaziri Mkuu kama maadui zangu walivyopanga.
Leo nimecheka eti Deogratius tunampa mke mtoto wa Rais wa Dunia hiyo inatosha, mnafikiri mke ndio suluhisho la Maono yangu, mmechemka.
I can, I will, I must be a President on 2020.
Next President by Jesus Name
Deogratius N Kisandu