Nitagombea Urais - Kisandu Deogratius

Nitagombea Urais - Kisandu Deogratius

kaka deo
Naishi kwa kufuata Katiba ya Nchi na maono aliyonipa Mungu na sio kunishinikiza kwa maslahi ya watu Fulani.



Nilikwisha sema Lazima "Nitakuja kuwa Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania" na sio kuishia kwenye Uwaziri Mkuu kama maadui zangu walivyopanga.

Next President by Jesus Name

Deogratius N Kisandu
ndoto za mafanikio huanzia utotoni na ukubwani ni utekelezaji.SOMA HISTORIA YA YAKUBU GOWON wa NIGERIA " (kirefu cha jina GOWON ni ndoto yake ambayo alikuja itimiza na maana yake ni Go On With One Nigeria)"
 
Huyu jamaa ni nani hapa Tanzania. Nimeona maandiko yake humu ndani mengi lakini pia inaonekana si mzima kichwani.
 
Kumbe unataka kuwa mrithi wa malinzi pale tif tif! Sawa bwana kisandu nenda kakuze soka letu
 
Post kama hizi angekua kapost Mtu mwingine ingekua imefutwa! Sema yeye ni [HASHTAG]#Verified[/HASHTAG] [HASHTAG]#Stupid[/HASHTAG]
 
Hujapona malaria yako? Au ushaamua kabisa kuwa kichaa? Huwez kuwa hata mjumbe wa nyumba kumi kwa akili hii. Nenda ukaombewe upone ureheshewe akili yako

Naishi kwa kufuata Katiba ya Nchi na maono aliyonipa Mungu na sio kunishinikiza kwa maslahi ya watu Fulani.



Nilikwisha sema Lazima "Nitakuja kuwa Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania" na sio kuishia kwenye Uwaziri Mkuu kama maadui zangu walivyopanga.

Next President by Jesus Name

Deogratius N Kisandu
 
Ningependa kuusoma uzi wa jamaa huyu aliyepata ukichaa

Kupitia usaili tungeepuka baadhi ya ambao hawana vigezo kwenda kutufundishia watoto wetu.

Kuna uzi katoka kuuandika, kiingereza kibovu mno mimi nikiwa darasa la sita nilikua siandiki vile na nimesoma Kayumba.

Hao waajiri wake waone tu mwajiriwa wao utumbo anaouandika.
 
[Nimekuelewa kisandu kweli ww ni Mwana fasihi,
Inahitaji uwezo Wa kufikili ili kujua anachomaanisha Bwana Deo, wengi mtamdhihaki lakini ana maana kubwa sana.


QUOTE="Deogratius Kisandu, post: 20460018, member: 111510"]Naishi kwa kufuata Katiba ya Nchi na maono aliyonipa Mungu na sio kunishinikiza kwa maslahi ya watu Fulani.



Nilikwisha sema Lazima "Nitakuja kuwa Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania" na sio kuishia kwenye Uwaziri Mkuu kama maadui zangu walivyopanga.

Next President by Jesus Name

Deogratius N Kisandu[/QUOTE]
 
Naishi kwa kufuata Katiba ya Nchi na maono aliyonipa Mungu na sio kunishinikiza kwa maslahi ya watu Fulani.



Nilikwisha sema Lazima "Nitakuja kuwa Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania" na sio kuishia kwenye Uwaziri Mkuu kama maadui zangu walivyopanga.

Next President by Jesus Name

Deogratius N Kisandu
Nilikumiss sana Brother Deo, mzima? Harakati zinaendaje?
 
2030 hukooo

Rais = Deogratias Kisandu

Waziri Mkuu = Bashite

Mambo ya ndani = Hamorapa

Wanawake na watoto = STUNTER

Utamaduni na Michezo = FF

Mkuu wa Majeshi = Mshana Jr.

Mwanapropaganda mkuu = M.Mwanakijiji.

Madini =


Miaka mitano tu tunaingia uchumi wa kati!
 
Mbulu usilutee mambo ya shilawadu kwenye mambo siriasi kama haya. Unataka kusema wewe mwalimu wako wa Kingereza hakukufundisha maana ya "Frent fod"? Deogratius Kisandu ndiye mwanasiasa bora Tanzania na lazima awe rais wetu. Kwani kuna nini cha ajabu kwenye Urais wa nchi hii asicho nacho yeye Kisandu!!??
Comparing na anae run show sasa... Brother Deo ni healthier than him
 
Naishi kwa kufuata Katiba ya Nchi na maono aliyonipa Mungu na sio kunishinikiza kwa maslahi ya watu Fulani.



Nilikwisha sema Lazima "Nitakuja kuwa Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania" na sio kuishia kwenye Uwaziri Mkuu kama maadui zangu walivyopanga.

Next President by Jesus Name

Deogratius N Kisandu
Nahisi haya maneno kuna mtu unamsemea...nimejaribu kukuelewa.
 
Back
Top Bottom