Melvine
JF-Expert Member
- Apr 3, 2013
- 718
- 1,383
Naunga mkono hojahii kitu iende jukwaa la vichekesho tafadhali...pia ninashauri lianzishwe jukwaa la walevi
Naunga mkono hojahii kitu iende jukwaa la vichekesho tafadhali...pia ninashauri lianzishwe jukwaa la walevi
Kupitia usaili tungeepuka baadhi ya ambao hawana vigezo kwenda kutufundishia watoto wetu.
Kuna uzi katoka kuuandika, kiingereza kibovu mno mimi nikiwa darasa la sita nilikua siandiki vile na nimesoma Kayumba.
Hao waajiri wake waone tu mwajiriwa wao utumbo anaouandika.
Kisandu nimekushusha hadhi mara mia ungetumia kiswahili
Naishi kwa kufuata Katiba ya Nchi na maono aliyonipa Mungu na sio kunishinikiza kwa maslahi ya watu Fulani.
Nilikwisha sema Lazima "Nitakuja kuwa Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania" na sio kuishia kwenye Uwaziri Mkuu kama maadui zangu walivyopanga.
Next President by Jesus Name
Deogratius N Kisandu
hahahahaaaaaa!!!