Nadhani utakuwa unazungumzia afya ya akiliHilo linawezekana kabisa Mkuu lakini cha kwanza kabisa kabla ya kufikia lengo lako ni kuhakikisha afya yako iko sawa kuweza kumudu majukumu makubwa ya kuiongoza nchi yenye matatizo mengi sana. Kila la heri kwenye kupima afya yako Mkuu.
hii kitu iende jukwaa la vichekesho tafadhali...pia ninashauri lianzishwe jukwaa la waleviNaishi kwa kufuata Katiba ya Nchi na maono aliyonipa Mungu na sio kunishinikiza kwa maslahi ya watu Fulani.
Nilikwisha sema Lazima "Nitakuja kuwa Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania" na sio kuishia kwenye Uwaziri Mkuu kama maadui zangu walivyopanga.
Next President by Jesus Name
Deogratius N Kisandu
Kwani mkuu mwalimu mmoja akiwa kilaza inamaana wengine Vilaza!Kwa kiingereza ulichotoka kuandika hata huo ualimu nashangaa bado unao.
Walimu ilibidi mfanyiwe usaili kabla ya kuajiriwa
Kwa hili namuunga mkono Rais Zuma wa Bondeni kwa Madiba.
Mkuu,Sawa Mkuu lakini hakuna ubaya kupata uhakika wa kupitia vipimo.
Kupitia usaili tungeepuka baadhi ya ambao hawana vigezo kwenda kutufundishia watoto wetu.Kwani mkuu mwalimu mmoja akiwa kilaza inamaana wengine Vilaza!
Hahaha ngoja nikauoneKupitia usaili tungeepuka baadhi ya ambao hawana vigezo kwenda kutufundishia watoto wetu.
Kuna uzi katoka kuuandika, kiingereza kibovu mno mimi nikiwa darasa la sita nilikua siandiki vile na nimesoma Kayumba.
Hao waajiri wake waone tu mwajiriwa wao utumbo anaouandika.
Mkuu,
Ushauri wako ni muhimu sana tukauziangatia, walau tupime afya zetu kila mwaka.
Na tusijipige vifua vyetu kuwa tu wazima kwa vile tulipewa hati safi ya vipimo vya afya miaka mitano iliyopita.
Kwani viroba bado vipo.!?Matatizo ya kunywa viroba mchana kweupeee.😀😀