Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,223
- 7,408
Wakuu ikiwa mtu ana uzoefu wa umiliki wa hii Nissan Patrol Y61 SUV naomba msaada wake kwenye mafuta na spea Tanzania.
Wenu Mtiifu.
Wenu Mtiifu.
Unyama huo kama utamudu gharama za TRA likiingia barabaran bongo utalimudu tu inshallahWakuu ikiwa mtu ana uzoefu wa umiliki wa hii Nissan Patrol Y61 SUV naomba msaada wake kwenye mafuta na spea Tanzania.
Wenu Mtiifu.
Ni gari ngumu imara, lakini spare zake ni ghali sana.Wakuu ikiwa mtu ana uzoefu wa umiliki wa hii Nissan Patrol Y61 SUV naomba msaada wake kwenye mafuta na spea Tanzania.
Wenu Mtiifu.
Eeh service ya kawaida laki 8?Ni gari ngumu imara, lakini spare zake ni ghali sana.
Service ya kawaida haipungui 800k
Service kubwa inachezea 1,500k na kuendelea.
Gari za nissan tatizo pekee ni ughali wa spare..nimezitumia gari hizi na toleo la lililotangulia kwa takribani 12yrs
Sio ajabu mkuuEeh service ya kawaida laki 8?
Bhaasi ngoja tubaki na Passo tuSio ajabu mkuu
Wewe unajuaGari makini Kwa kipato cha Kati. Tenga 3m (wese na Incidentals @ mwezi kuhudumia chuma
Kwa hiyo Bora kuchukua ya diesel?Hizo patrol zipo za Petrol na Diesel. Petrol usichukue labda kama unapenda mbio kuna engine ya Tb45 ni 4500cc, Tb48 ni 4800.
Diesel engine ni Td42 4200cc hii ni common kwenye patrol nyingi na Nissan Civilian ina sound nzito, kuna Zd30 3000cc hii ipo very economy na ina nguvu sana na ina tumia mifumo ya umeme.
Nissan 3 Doors(Short Base) hizi kweye Y60 na Y61 zinakuja na engine ya Rd28 2800cc inline 6 cylinder hii haina shida na inatumia vizuri mafuta.
Ha ha haUkisubiri elimu ya hapa jamiiforum utakwama kwenye mambo mengi.
Service ya laki 8 hata mabus ya mikoani wangeshindwa
Nissan Patrol haiwezi kufika huko labda gari iwe na tatizo la kudumu. Oil ,oil filter na diesel filter service haifiki laki 8Ukisubiri elimu ya hapa jamiiforum utakwama kwenye mambo mengi.
Service ya laki 8 hata mabus ya mikoani wangeshindwa
Ndio, Kama mtunzaji chukua yenye Zd30.Kwa hiyo Bora kuchukua ya diesel?
Ni gari ngumu imara, lakini spare zake ni ghali sana.
Service ya kawaida haipungui 800k
Service kubwa inachezea 1,500k na kuendelea.
Gari za nissan tatizo pekee ni ughali wa spare..nimezitumia gari hizi na toleo la lililotangulia kwa takribani 12yrs