Nadhani hujaielewa mada vizuri, hebu rudia tena kusoma nilichoandika.Kwani mafuta bei gani?
Acha hizo mambo nunua gari unayoipenda.
Nunua gari unayoipenda wewe.Nadhani hujaielewa mada vizuri, hebu rudia tena kusoma nilichoandika.
Nisubiri kidogo naenda kiwandani Tokyo nikaulize.Hello wataalamu wa magari na wazoefu wa Carina, ipi inatumia mafuta vizuri zaidi...binafsi nina uzoefu na Carina Si, 7A engine, cc 1762, hii gari inatembea wastani wa 15km kwa Lita 1, naomba mwenye uzoefu na Carina Ti anipe uzoefu wake.
Aksante sana
Fuel consumption ikoje kwa Carina Ti?Si ina 1.8L, horsepower 115
Ti ina 1.5L, horsepower 100
Ushauri Carina TI na Carina SI
Naomba kueleweshwa kuhusu hizo gari kuhusiana na uimara na utumiaji wake wa mafuta. Mwenye uelewa please. Au ushauri gari gani nyingine inayofanana muundo na hizo ambayo ni economy kwenye mafuta na umadhubuti. Nataka kununua usafiriwww.jamiiforums.com
Average 14-15 kpl. Ila highway inaenda hadi 20kpl.Fuel consumption ikoje kwa Carina Ti?
Nahitaji practical experience
Aksante sana...hiyo 15km ni highway...nilibadili thermostat, nikafunga mpya, gari inawasha taa ya kijani kwe dashboard ya ECONO...kutegemeana na ukanyagaji wa mafuta na speed... inatumia mafuta vizuri sana tofauti na mwanzo...Average 14-15 kpl. Ila highway inaenda hadi 20kpl.
Mkuu wewe 15kpl kwa Si unapata ni average, highway au town?
Shida ya consumption ina vitu vingi vya kutegemea mfano uendeshaji, speed, mzigo, service history, terrain, tairi upepo, size ya tairi, etc.
15kph highway duh we jamaa una mguu mzito sana badirisha uendeshaji wako. Hiyo ni utumiaji wa gari la cc 2500 highway (uwa napata 15kph na cc 2500 mjerumani 6 cylinders ila highway)Aksante sana...hiyo 15km ni highway...nilibadili thermostat, nikafunga mpya, gari inawasha taa ya kijani kwe dashboard ya ECONO...kutegemeana na ukanyagaji wa mafuta na speed... inatumia mafuta vizuri sana tofauti na mwanzo...
Aksante sana...hiyo 15km ni highway...nilibadili thermostat, nikafunga mpya, gari inawasha taa ya kijani kwe dashboard ya ECONO...kutegemeana na ukanyagaji wa mafuta na speed... inatumia mafuta vizuri sana tofauti na mwanzo...
Huwa nacheza 80kmh mpaka 100kmh, nimetembea jana 180km kwa lita 10 (wese la 30k) ndo mana nikatamani kujua hali ikoje kwa Carina Ti?15kph highway duh we jamaa una mguu mzito sana badirisha uendeshaji wako. Hiyo ni utumiaji wa gari la cc 2500 highway (uwa napata 15kph na cc 2500 mjerumani 6 cylinders ila highway)