Turbo aende dt double? Si ataambiwa mamilioni ya pesa?Si uende ilala au kama unajiweza uende pale vingunguti DT dobie nissan?
Au zama tandale kule zipo kibao
habari ya leo wakuu, natafuta Turbo pamoja na fuel pump ya Nissan Patrol Y61, ZD30 engine tafadhali nicheki whatsapp kama unayo, asante. +255675308774
Asante mkuu, nimeliweka hapa kwa tumaini la kuweza pata kwa bei nafuu kidogo, penye wengi mambo yanakuwa poaSi uende ilala au kama unajiweza uende pale vingunguti DT dobie nissan?
Au zama tandale kule zipo kibao
Turbo aende dt double? Si ataambiwa mamilioni ya pesa?
Asante mkuu, nimeliweka hapa kwa tumaini la kuweza pata kwa bei nafuu kidogo, penye wengi mambo yanakuwa poa
Nimekuelewa mkuuSoma vizuri:nimemwambia kama anajiweza!
Nimekuelewa mkuu
TSH ngapTurbo yako ni kama hizi 👇
View attachment 2640395
View attachment 2640397
Au kama hizi👇
View attachment 2640398
View attachment 2640399
Kama huna haraka nikuagizie mpya....